Hashpower7113
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,353
- 2,142
- Thread starter
- #41
Jamaa kutoka sayari nyingine huyoBinafsi namkubali sana huyu jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa kutoka sayari nyingine huyoBinafsi namkubali sana huyu jamaa
si ndo hapo sasa jamaa kampamba mnooema huyu jamaa anapata credits nyingi kuliko engineers wake wanaofanya hayo mambo yawe possible. He's a man of ideas but his engineers do the real work
Hapana sio free bali ni kwa kulipia pesa ndogo kila mwezi labda $80.Tukifika hapo kwenye free internet aluu!
Hata hivyo itakuwa vizuri pia.Hapana sio free bali ni kwa kulipia pesa ndogo kila mwezi labda $80.
Sababu akifanya bure itakuwa hasara.
Kuendesha zile satellite ni gharama pia.
Pia anahitaji pesa nyingi zaidi ili project zingine ziendelee kukua na uchumi wake usishuke.
Anategemea kutengeneza 30 billion dollars kwa mwaka hiyo kutoka kwenye hiyo internet project yaani
Starlink.
Stori za pauka pakawa kivipi kwani huamini hili litafanyika?Binadamu mnapenda sana story za pauka pakawa. Tena mkiwekewa na mapicha picha na mavideo basi ndiyo hamuhoji tena kisa mnapenda kuona.
Siyo kwamba siamini bali ni uongo.Stori za pauka pakawa kivipi kwani huamini hili litafanyika?
Sawa.Siyo kwamba siamini bali ni uongo.
Kwanza waende mwezini kule ambako walidanganya watu ya kuwa walienda.
umaskini umekuathiri sana, pole sana, endelea na mawazo hayo hayo huku wenzio wakiendelea kua mabilionea kama sio matrilioneaBinadamu mnapenda sana story za pauka pakawa. Tena mkiwekewa na mapicha picha na mavideo basi ndiyo hamuhoji tena kisa mnapenda kuona.
Duniani kuna vichwa aisee, huku sisi wengine tukiwa tunaumiza kichwa kuhakikisha tunapata milo mitatu ya familia wenzetu hawa washasahau habari hizo ndio maana akili zao sasa zinawaza extra miles na kufanikiwa kupata mavumbuzi mapya yanayoitikisa dunia. Taratibu tu, tutafika na sisi hata kama ni kwa kuchelewa sana.
Huyo anasumbuliwa na uhafidhina plus ubishi usio na faida na mawazo mgando.umaskini umekuathiri sana, pole sana, endelea na mawazo hayo hayo huku wenzio wakiendelea kua mabilionea kama sio matrilionea
Poa.umaskini umekuathiri sana, pole sana, endelea na mawazo hayo hayo huku wenzio wakiendelea kua mabilionea kama sio matrilionea
Aisee balaaHapana sio free bali ni kwa kulipia pesa ndogo kila mwezi labda $80.
Sababu akifanya bure itakuwa hasara.
Kuendesha zile satellite ni gharama pia.
Pia anahitaji pesa nyingi zaidi ili project zingine ziendelee kukua na uchumi wake usishuke.
Anategemea kutengeneza 30 billion dollars kwa mwaka hiyo kutoka kwenye hiyo internet project yaani
Starlink.
Ina maana huamini kama ni kweli mkuu, ingia tu google hapo ujiridhishe!Umeandika vizuri kama utakuwa umeandika ukweli.
[emoji122][emoji122]