The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Wale haters wa Magufuli watapita kimya kimya kama wanaaga maitiBilionea namba 2 Duniani bwana Elon Musk akijibu swali ama maoni ya mtumiaji wa Twitter aliehoji ni lini watu watajua ukweli kwamba Covid-19 ilikua ni utapeli, Bwana Musk amesema itajulikana hivi karibuni tu.
Kumbuka Bwana Musk alitoa taarifa kwenye mtandao wake wa twitter kwamba hivi karibuni atatoa taarifa zote kuhusiana na serikali ya Marekani kutumia nguvu nyingi kuzima maoni ama mawazo yaliyokua tofauti na msimamo wa serikali kuhusu Covid na namna ya kushughulikia Covid 19.
Bwana Musk hakuishia hapo, alitaka aliekua mkuu wa Magojwa wa Marekani Anthony Fauci afungwe kwani kwa maelekezo yake mamia ya maelfu walipoteza maisha.
Kwamba Magu aliwazidi akili matapeli na kuzuia LOCKDOWN!!!!Bilionea namba 2 Duniani bwana Elon Musk akijibu swali ama maoni ya mtumiaji wa Twitter aliehoji ni lini watu watajua ukweli kwamba Covid-19 ilikua ni utapeli, Bwana Musk amesema itajulikana hivi karibuni tu.
Kumbuka Bwana Musk alitoa taarifa kwenye mtandao wake wa twitter kwamba hivi karibuni atatoa taarifa zote kuhusiana na serikali ya Marekani kutumia nguvu nyingi kuzima maoni ama mawazo yaliyokua tofauti na msimamo wa serikali kuhusu Covid na namna ya kushughulikia Covid 19.
Bwana Musk hakuishia hapo, alitaka aliekua mkuu wa Magojwa wa Marekani Anthony Fauci afungwe kwani kwa maelekezo yake mamia ya maelfu walipoteza maisha.
Mtumwa wa wazunguMuseveni hadi leo anavaa barakoa
Hii inaongelea pandemic response na sio whether hiyo covid 19 ni scam.Bilionea namba 2 Duniani bwana Elon Musk akijibu swali ama maoni ya mtumiaji wa Twitter aliehoji ni lini watu watajua ukweli kwamba Covid-19 ilikua ni utapeli, Bwana Musk amesema itajulikana hivi karibuni tu.
Kumbuka Bwana Musk alitoa taarifa kwenye mtandao wake wa twitter kwamba hivi karibuni atatoa taarifa zote kuhusiana na serikali ya Marekani kutumia nguvu nyingi kuzima maoni ama mawazo yaliyokua tofauti na msimamo wa serikali kuhusu Covid na namna ya kushughulikia Covid 19.
Bwana Musk hakuishia hapo, alitaka aliekua mkuu wa Magojwa wa Marekani Anthony Fauci afungwe kwani kwa maelekezo yake mamia ya maelfu walipoteza maisha.
Maradhi mengi ya viruses wanatengeneza!!Bilionea namba 2 Duniani bwana Elon Musk akijibu swali ama maoni ya mtumiaji wa Twitter aliehoji ni lini watu watajua ukweli kwamba Covid-19 ilikua ni utapeli, Bwana Musk amesema itajulikana hivi karibuni tu.
Kumbuka Bwana Musk alitoa taarifa kwenye mtandao wake wa twitter kwamba hivi karibuni atatoa taarifa zote kuhusiana na serikali ya Marekani kutumia nguvu nyingi kuzima maoni ama mawazo yaliyokua tofauti na msimamo wa serikali kuhusu Covid na namna ya kushughulikia Covid 19.
Bwana Musk hakuishia hapo, alitaka aliekua mkuu wa Magojwa wa Marekani Anthony Fauci afungwe kwani kwa maelekezo yake mamia ya maelfu walipoteza maisha.
Pandemic response ndo sawa na kusema Lockdown ilikuwa maamuzi yasiyo sahihi.Hii inaongelea pandemic response na sio whether hiyo covid 19 ni scam.
Kiingereza ni shida kwa vijana wa kayumba.
Kuna kipi strange mzee? Issue ya COVID ni moja ya viruses ambazo wanatengeneza maradhi, but haimaanishi uyadharau na kuita kakorona wakat it kills!!!Wale haters wa Magufuli watapita kimya kimya kama wanaaga maiti
Kilichokuwa kukiua watu ni HOFU Si CORONA.Kuna kipi strange mzee? Issue ya COVID ni moja ya viruses ambazo wanatengeneza maradhi, but haimaanishi uyadharau na kuita kakorona wakat it kills!!!
Huo ujinga ndio ulifanya raia wafe, ifikie mahali tuwekane waz kua hiki ni hatar tuchukue hatua!! Unamwambia raia aondoe hofu kaugonjwa kadogo? Tushukur MUNGU san kwajins alivyotuumba ngozi nyeusi inahimili maradhi type hizo!!Kilichokuwa kukiua watu ni HOFU Si CORONA.
It was a spell ya kichawi.
Jiwe je alikufa kwa HOFU pia?Kilichokuwa kukiua watu ni HOFU Si CORONA.
It was a spell ya kichawi.
Kwa sababu zipi?Maradhi mengi ya viruses wanatengeneza!!
Huu hauna tofauti na ule utapeli wa babu wa loliondo
Covid yote kwa ujumla ni scam. Mbona Africa haipo? Covid ni utapeli kama utapeli mwingine.Hii inaongelea pandemic response na sio whether hiyo covid 19 ni scam.
Kiingereza ni shida kwa vijana wa kayumba.
Kweli KqbisaKilichokuwa kukiua watu ni HOFU Si CORONA.
It was a spell ya kichawi.
Huyo Mungu wako tapeli ana maswali kibao kutueleza kwa nini alikuwa anazika watu usiku na kukataa kutangaza idadi ya vifo. Pia tueleze kinaga ubaga yale Mapapai na mafenesi yake alaiyapimaje mpka yakawa na korona.Wale haters wa Magufuli watapita kimya kimya kama wanaaga maiti