Internet-Money
JF-Expert Member
- Apr 20, 2021
- 493
- 1,135
Duh ,Hii inaongelea pandemic response na sio whether hiyo covid 19 ni scam.
Kiingereza ni shida kwa vijana wa kayumba.
Kazi kweli kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh ,Hii inaongelea pandemic response na sio whether hiyo covid 19 ni scam.
Kiingereza ni shida kwa vijana wa kayumba.
Bilionea namba 2 Duniani bwana Elon Musk akijibu swali ama maoni ya mtumiaji wa Twitter aliehoji ni lini watu watajua ukweli kwamba Covid-19 ilikua ni utapeli, Bwana Musk amesema itajulikana hivi karibuni tu.
Kumbuka Bwana Musk alitoa taarifa kwenye mtandao wake wa twitter kwamba hivi karibuni atatoa taarifa zote kuhusiana na serikali ya Marekani kutumia nguvu nyingi kuzima maoni ama mawazo yaliyokua tofauti na msimamo wa serikali kuhusu Covid na namna ya kushughulikia Covid 19.
Bwana Musk hakuishia hapo, alitaka aliekua mkuu wa Magojwa wa Marekani Anthony Fauci afungwe kwani kwa maelekezo yake mamia ya maelfu walipoteza maisha.
Hupo ndio nini?Haya ndio mambo mnapenda ugonjwa hupo mnaanza kuleta sijui utapeli.
Ndo nyie mpaka leo mnazunguza 2pc yupo hai
Kwa hiyo waliokuwa wanakufa wote walikuwa wanakufa kwa utapeli?Bilionea namba 2 Duniani bwana Elon Musk akijibu swali ama maoni ya mtumiaji wa Twitter aliehoji ni lini watu watajua ukweli kwamba Covid-19 ilikua ni utapeli, Bwana Musk amesema itajulikana hivi karibuni tu.
Kumbuka Bwana Musk alitoa taarifa kwenye mtandao wake wa twitter kwamba hivi karibuni atatoa taarifa zote kuhusiana na serikali ya Marekani kutumia nguvu nyingi kuzima maoni ama mawazo yaliyokua tofauti na msimamo wa serikali kuhusu Covid na namna ya kushughulikia Covid 19.
Bwana Musk hakuishia hapo, alitaka aliekua mkuu wa Magojwa wa Marekani Anthony Fauci afungwe kwani kwa maelekezo yake mamia ya maelfu walipoteza maisha.
HatersHuyo Mungu wako tapeli ana maswali kibao kutueleza kwa nini alikuwa anazika watu usiku na kukataa kutangaza idadi ya vifo. Pia tueleze kinaga ubaga yale Mapapai na mafenesi yake alaiyapimaje mpka yakawa na korona.
Umeelewa hoja ya jamaa au umeamua kuja kudhalilisha ukoo wako huku jfKuna kipi strange mzee? Issue ya COVID ni moja ya viruses ambazo wanatengeneza maradhi, but haimaanishi uyadharau na kuita kakorona wakat it kills!!!
Vipi we mmerekani wa buza, unamuona Elon kama nani..?Elon Musk huko Marekani ni sawa na Mo hapa bongo. MO ni tajiri anayependa kucheza na mtandao na media na anatiliwa maanani na watu wa Simba, vivyo hivyo Musk anapenda kucheza na mtandao na media na anatiliwa maanani na Republicans wa mrengo mkali wa kulia( Right wing Republicans) ambao wengi wanamchukia Bill Gates, Wamarekani wengine wanamchukulia Elon Musk kama kanjanja tu.
Walamba asali hamtaiona hii postNoma sanaaaa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2527754
Kwani binadamu alikuwa anapimwaje?? Si yalikuwa yanachukuliwa majimaji puani? Sasa Papai na mafenesi hayana maji??Huyo Mungu wako tapeli ana maswali kibao kutueleza kwa nini alikuwa anazika watu usiku na kukataa kutangaza idadi ya vifo. Pia tueleze kinaga ubaga yale Mapapai na mafenesi yake alaiyapimaje mpka yakawa na korona.
Yuko wapi huyo magufuliWale haters wa Magufuli watapita kimya kimya kama wanaaga maiti
Bilionea namba 2 Duniani bwana Elon Musk akijibu swali ama maoni ya mtumiaji wa Twitter aliehoji ni lini watu watajua ukweli kwamba Covid-19 ilikua ni utapeli, Bwana Musk amesema itajulikana hivi karibuni tu.
Kumbuka Bwana Musk alitoa taarifa kwenye mtandao wake wa twitter kwamba hivi karibuni atatoa taarifa zote kuhusiana na serikali ya Marekani kutumia nguvu nyingi kuzima maoni ama mawazo yaliyokua tofauti na msimamo wa serikali kuhusu Covid na namna ya kushughulikia Covid 19.
Bwana Musk hakuishia hapo, alitaka aliekua mkuu wa Magojwa wa Marekani Anthony Fauci afungwe kwani kwa maelekezo yake mamia ya maelfu walipoteza maisha.
Unaamini western propaganda kua COVID-19 ilianzia china...?Kwa hiyo waliokuwa wanakufa wote walikuwa wanakufa kwa utapeli?
Yaani Wamarekani walienda kufanya utapeli mpaka China ambako Tatizo lilianzia?
Kwani tutaishi milele!!?Yuko wapi huyo magufuli
Bilionea namba 2 Duniani bwana Elon Musk akijibu swali ama maoni ya mtumiaji wa Twitter aliehoji ni lini watu watajua ukweli kwamba Covid-19 ilikua ni utapeli, Bwana Musk amesema itajulikana hivi karibuni tu.
Kumbuka Bwana Musk alitoa taarifa kwenye mtandao wake wa twitter kwamba hivi karibuni atatoa taarifa zote kuhusiana na serikali ya Marekani kutumia nguvu nyingi kuzima maoni ama mawazo yaliyokua tofauti na msimamo wa serikali kuhusu Covid na namna ya kushughulikia Covid 19.
Bwana Musk hakuishia hapo, alitaka aliekua mkuu wa Magojwa wa Marekani Anthony Fauci afungwe kwani kwa maelekezo yake mamia ya maelfu walipoteza maisha.
Unaamini western propaganda kua COVID-19 ilianzia china...?
Alikufa kwa ubishi wake na ujuaji wa kijingaKwani tutaishi milele!!?
Lugha imemchanganya, na waliofatia nao hawajenda twitter kusoma au hawajaelewaHii inaongelea pandemic response na sio whether hiyo covid 19 ni scam.
Kiingereza ni shida kwa vijana wa kayumba.
Subiria ufe kwa huo werevuAlikufa kwa ubishi wake na ujuaji wa kijinga