Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Mzee anaogopa kufa 😀Museveni hadi leo anavaa barakoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee anaogopa kufa 😀Museveni hadi leo anavaa barakoa
Hakuna atakaeishi milele, at least alisema ukweli.Hiyo hiyo Covid ikapita naye.
Huwezi kuwa na akili primitive ukatoboa.
Wewe sasa unabishana na mwanasayansi wa space x na bnareeSiyo kwamba Covid ni utapeli...
Covid ilikuwepo na ipo...
Shida ni namna ya ku combut huo ugonjwa!
Na jinsi ilivyokuwa Dhahiri kuuza Chanjo ambayo haikukamilisha taratibu za kiusalama wa dawa!
Hiyo ndiyo mess kubwa iliyofanywa na pfizer...
Huyo Fauci ni kweli ysfaa afungwe gerezani pamoja na rafiki yake Bill....!
Ona huyu juha 🤣🤣🤣!!Hujachanja mpaka leo unadunda tu kenge ww... achanane na roho za chuki takataka... corona was a big pharma business hilo halina ubishi.
Sawa mama nimekuelewa mtoto mzuri. Nitajitahidi next time kukupiga goli nyingi ufurahi mrembo wangu.Punguza povu we mbwiga. Soma swali jamaa alilomuuliza Musk ulielewe kwa ufasaha siyo unabwabwaja tu.
Huyo shujaa wako mbona hakutoboa kwa covid-19?
Mzee cjapinga kumtanguliza MUNGU kwa kila jambo, bali kutokubali tatizo lipo na ni hatarishi tuchukue hatua! NB; Mwanasiasa na viongoz wa kidunia na kumtegemea MUNGU ni vitu viwili tofaut kbs!!! Nadhan ukiwa unamtegema MUNGU na una hofu huez ruhusu uovu kwako!!MUNGU huwapa maono watu
Ndivyo alivyompa uono magufuri 7bu alikuwa kiongozi
Hvyo unavyosema tumshukuru MUNGU ndivyo MAGUFURI alivyotutaka wote tumuombe MUNGU
Si kwamba MAGUFURI alikuwa na UPAKO LA HASHA
Ni yeye kupenda kumtanguliaza MUNGU kwa kila jambo
Hvyo tunamshukulu MUNGU kwa kumpa Aliyekuwa RAISI wetu maono akagundua kuwa akisema afate hila za MABEBERU wananchi wangepata tabu wangeteseka wangekufa
Hvyo tunarudi palepale MAGUFURI katika hili anastahili SIFA na atakumbukwa katika HISTORIA ya Dunia kwa msimamo wake DHIDI ya COVID 19
Matako kama wewe ndo mnaishia kuva rainbaw outfit.😆😆😆Ona huyu juha 🤣🤣🤣!!
Waliovurugwa kama huyu wapo bado.Huyo Mungu wako tapeli ana maswali kibao kutueleza kwa nini alikuwa anazika watu usiku na kukataa kutangaza idadi ya vifo. Pia tueleze kinaga ubaga yale Mapapai na mafenesi yake alaiyapimaje mpka yakawa na korona.
wale waliojipeleka kudungwa machanjo watapita kimya kimya piaWale haters wa Magufuli watapita kimya kimya kama wanaaga maiti
U'll know for sure, verry very soon,Sacrificed himself for Tanzanians to whom?
Who needed his sacrifices anyway? For what?
AliuawaJiwe je alikufa kwa HOFU pia?
Pandemic response including musk wearing, Vaccination, and lockdown.Hii inaongelea pandemic response na sio whether hiyo covid 19 ni scam.
Kiingereza ni shida kwa vijana wa kayumba.
Hao waliokuwa wanatutisha kuwa ikifika May 2020 Africa itaanza kuokota mizoga ya watu waliokufa kwa Corona kwa kuwa kila sehemu patakuwa pamejaa hawakujua kuwa ngozi nyeusi zinahimili magonjwa?Huo ujinga ndio ulifanya raia wafe, ifikie mahali tuwekane waz kua hiki ni hatar tuchukue hatua!! Unamwambia raia aondoe hofu kaugonjwa kadogo? Tushukur MUNGU san kwajins alivyotuumba ngozi nyeusi inahimili maradhi type hizo!!
Na wepia ni moja ya wajinga na wajuawaji wabishi.Alikufa kwa ubishi wake na ujuaji wa kijinga
Corona ilikuwa ni utapeli tena Mkubwa sanaSiyo kwamba Covid ni utapeli...
Covid ilikuwepo na ipo...
Shida ni namna ya ku combut huo ugonjwa!
Na jinsi ilivyokuwa Dhahiri kuuza Chanjo ambayo haikukamilisha taratibu za kiusalama wa dawa!
Hiyo ndiyo mess kubwa iliyofanywa na pfizer...
Huyo Fauci ni kweli ysfaa afungwe gerezani pamoja na rafiki yake Bill....!
Hakuna cha deep state. Magufuli alifunuliwa na Mungu.Usilolijua ni sio Magufuli lakini deep state ambayo inaendesha nchi ushauri wao ulichukuliwa. Magufuli alikuwa tu mtekelezaji na kwahilo tumsifu maana hawa watu wa deep state wanashauri mengi lakini wanasiasa wengine uchwara wanaamua kuwaIgnore.
Tuna wapuuzi humu alafu wakiletewa elimu kuhusu sayansi wanakaa kimya.ukiwauliza hivi vyote mnavotumia ni uongo wanabaki kujibalaguza.saSa watu waliokufa kwa mamia walikufa kwa ugonjwa gani?