Mnaposema COVID 19 ilikuwa utapeli siwaelew, Kwan hamkushuhudia watu walivyokuwa wanapukutika? Binafsi ilinipata na kunitesa sana mpaka muda huu Huwa najiuliza kwann Niko hai?
Utapeli unakuja kama ifuatavyo,
Unatengezwa UGONJWA wa mafua na watu wa Giza ktk maabara zao, unaambukizwa Kwa watu makusudi,
Halafu wanatoka kuyaambia mataifa yakopeshwe CHANJO na wakae ndani bila kufanya KAZI.
Malengo ya kuwafungia watu ndani wasifanye KAZI ni kutafuta sababu ya kuutangaza kuwa Dunia Uchumi umefilisika.
Nia ilikuwa, baada ya watu kupata taabu ya CHAKULA nk,
Wangeamua kuukwamua Uchumi wa Dunia, mataifa yote yasipoteze muda, yashurutishwe kukubali,
IBADA zote zifanyike siku moja watayochagua,
Dini zote ziungane iwe dini moja, Sarafu zote ziunganishwe na kuwa moja,
Watu wote waendeshwe na AMRI moja Dunia nzima kupitia mark iliyo ndani ya CHANJO,
Sie tulistuka mapema na Magu akapenyezewa taarifa.
Wamefail Kwa muda bt wanajipanga kivungine.
Na hiyo ndo sababu kuu hatunaye Magu wetu, kuwabishia wakubwa.
Tusubiri.