adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hivyo kosa sio lako kuwa hivyo , sikulaumu kabisa dishi lako kuyumba na kukosa muelekeo sahihi.
Pole sana mkuu... mbona husda yakutesa kiasi hiko?.... hebu tupe uzoefu wako kama mwanacha kindakindaki wa Republicans... ilani take ya uchaguzi inasema nini?Hili jamaa linakera sana. Utadhani yeye sasa ndio rais mteuliwa siyo Trump tena.
Alizidisha sana kujipendekeza kila sehemu Trump yupo naye yupo.
Katika teuzi za watu yeye kimbelembele.
Sasa wababe wa chama chao Republicans wamempiga stop hadi sasa hivi kasusia kwenda the centre of the universe (Mar-al-ago).
Wenye chama chao wamemuonya nakumuambia umeingia Republicans majuzi tu nakuanza kupelekesha watu hiyo haiwezekani.
Eti kwa hasira kawaondolea blue ticks kwenye X/Twitter kisa wamemponda kuhusu H-1B visa ambayo marekani huwapa skilled workers. Na wamemuambia go to hell.
Yani afadhali wamelidhibiti yani lilikuwa linamfuata Trump kila mahali kama kikulacho. Ukienda huku lafuata ukikatiza huku lafuata.
Hadi kwenye picha ya familia ya Trump lilikuwa linajichomeka na toto lake mabegani.
Elon Musk apunguze shobo aelewe yeye si mmarekani halisi ni mwafrika.
Ametutelekeza na bara letu ambapo lilimleta duniani akawa alivyo leo.
Republican party has fundamentally roots of christianity na Yesu muongozo jamaa ni mpagani aache kiherehere. Trump Is the President no one else.
Kwa kuwa ametusahau sisi waafrika tunamlaani na kumuombea mabaya ashuke na afilisike alingane na kina Lugumi na chief godlove huko.
Chaliifrancisco
Nyau de adriz
Hilo toto mabegani lilitakiwa liwe na mama yake grime ambaye kamnyima custody
Mbona unajilazimisha undugu nae?Hili jamaa linakera sana. Utadhani yeye sasa ndio rais mteuliwa siyo Trump tena.
Alizidisha sana kujipendekeza kila sehemu Trump yupo naye yupo.
Katika teuzi za watu yeye kimbelembele.
Sasa wababe wa chama chao Republicans wamempiga stop hadi sasa hivi kasusia kwenda the centre of the universe (Mar-al-ago).
Wenye chama chao wamemuonya nakumuambia umeingia Republicans majuzi tu nakuanza kupelekesha watu hiyo haiwezekani.
Eti kwa hasira kawaondolea blue ticks kwenye X/Twitter kisa wamemponda kuhusu H-1B visa ambayo marekani huwapa skilled workers. Na wamemuambia go to hell.
Yani afadhali wamelidhibiti yani lilikuwa linamfuata Trump kila mahali kama kikulacho. Ukienda huku lafuata ukikatiza huku lafuata.
Hadi kwenye picha ya familia ya Trump lilikuwa linajichomeka na toto lake mabegani.
Elon Musk apunguze shobo aelewe yeye si mmarekani halisi ni mwafrika.
Ametutelekeza na bara letu ambapo lilimleta duniani akawa alivyo leo.
Republican party has fundamentally roots of christianity na Yesu muongozo jamaa ni mpagani aache kiherehere. Trump Is the President no one else.
Kwa kuwa ametusahau sisi waafrika tunamlaani na kumuombea mabaya ashuke na afilisike alingane na kina Lugumi na chief godlove huko.
Chaliifrancisco
Nyau de adriz
Kwa nini Mason hawajakuchagua wewe.Yani wenye chamaa traditional members wamemshukia kama mwewe. Jamaa alizidisha kiherehere. Sasa hivi haambatani tena na Trump kama awali eti kasusa. Yani alivuka mpaka nukumuhusisha toto lake kwenye utopolo wake akimbeba mabegani wakati hilo toto lilitakiwa liwe na mama yake huko ambaye amemzuia custody. Jamaa wala siyo smart kama watu wanavyompamba imetokea tu freemasons wamemchagua
X city ni mtandao wa kijamii mpya au ni nini?Waafrika mentality yetu ni kwamba wanakusubiri ufanikiwe eti uje uwasaidie. Awasaidie Afrika mmemsaidia kwa lipi hadi kufika alipofika?
Yes kuhusu kimbelembele na kususa susa jamaa ana tabia hiyo sana. X aka Twitter kaigeuza kama whatsapp group na yeye ndiye admin. Ndiyo maana siku hizi X umekuwa mtandao wa hovyo. Sasa hivi anakuja na X city,.
Mji wa ambao utakwua wa wafanyakazi wa Star link na tesla. Utakuwa na kila kitu chake ikiwemo police, kikosi cha zima moto na kila kitu.X city ni mtandao wa kijamii mpya au ni nini?
🤣🤣🤣🤣Huna akili ndo maana umepigwa ban