Elon Musk kazidisha kujipendekeza sasa kakutana na wababe huko Republican

Pole sana mkuu... mbona husda yakutesa kiasi hiko?.... hebu tupe uzoefu wako kama mwanacha kindakindaki wa Republicans... ilani take ya uchaguzi inasema nini?
 
Mbona unajilazimisha undugu nae?
 
Kwa nini Mason hawajakuchagua wewe.
 
X city ni mtandao wa kijamii mpya au ni nini?
 
Umemsema Musk kama Unamsema jamaa fulani wa kijiweni kumbe ni Giant wa utajiri.

Unamsema mtu ambae akiamua Leo akae ale pesa zake ,anakula mpaka kizazi cha tatu😉😉
 
moja kati ya sifa ya jamii ambayo haijastaarabika ni watu kufuatilia mambo yasio wahusu

nimenukuu mahali hapa JF
 
Unamchukia Tajiriiii duniani 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…