Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Straight man" ameandika hivyo, ukizingatia maana ya maneno hayo mawili hakuta tatizo. Pasingekua hiyo straight ndio hapo tungesema labda kwa nini atumie love na sio likeSiku ya Jana kupitia mtandao wake WA kijamii, maarufu Kama X , Bilionea Elon Musk ameandika kua Anampenda Raisi Donald Trump Kama vile mwanaume anavyoweza kumpenda MWANAUME mwenzake.
Aisee,
imekaaje hii wakuu au mi ndo sijaelewa🤔
Wewe umeelewa maana ya straight man?Huo ujumbe Trump akiutafsiri vibaya Eloni hana kazi, kwasababu Trump na mambo ya usengerema hawaendani kabisa
Na angesema anampenda Donald Trump kama Gay anavyompenda Mwanaume? Hapo si ndio ungeshangaa mwaka mzimaSiku ya Jana kupitia mtandao wake WA kijamii, maarufu Kama X , Bilionea Elon Musk ameandika kua Anampenda Raisi Donald Trump Kama vile mwanaume anavyoweza kumpenda MWANAUME mwenzake.
View attachment 3229187
Aisee,
imekaaje hii wakuu au mi ndo sijaelewa🤔
hata maandiko ndivyo yanasema(sikumbuki kifungu)
deepond
mkuu,au umechukulia kama upendo uliokuwa nao wewe kwa fundicherehani kule chamanzi... Unatoka msibani unavizia dirishani unasikia mtu analia kwa kulilia kijinga alichoruhusu kipekeche gozi lake
shamba nn imekubana cm uliibiwa mana siku hizi unaibuka kimachale sana unaviziaHa ha ha....fala sana wewe
Weee asikusikie Trump na wewe shauri zako 😆 😂Kweli mkuu, angepewa kesi ya kutishia kijambio Cha raisi aliyeko madarakani
UPENDO ni Amri ya Bwana, Yesu alisema pendaneni.Siku ya Jana kupitia mtandao wake WA kijamii, maarufu Kama X , Bilionea Elon Musk ameandika kua Anampenda Raisi Donald Trump Kama vile mwanaume anavyoweza kumpenda MWANAUME mwenzake.
View attachment 3229187
Aisee,
imekaaje hii wakuu au mi ndo sijaelewa🤔