Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 5,566
- 5,477
Hivi huwa hachoki kupayuka🤣🤣🙌
... NI SHIDAA! 🤣Hivi huwa hachoki kupayuka🤣🤣🙌
Huyo jamaa ashapigwa chini kwa sababu ya tweet yake aliyoandika kuwa I was a racist before I became cool.... jamaa kaanza kuajiri wahuni kwenye kazi ya kupekua taarifa nyeti za serikali na walipa kodi wa AMERICA! 🤣
...miongoni mwa wahuni alioajiri Musk kwenye kitengo chake cha kudhibiti utendaji swafi wa serikali, aka DOGE, ni 'hacker' mmoja mwenye umri wa miaka 19, kwa jina Edward Coristine, anayetambulika zaidi kwa jina lake la kihuni mitandaoni la 'BIG BALLS'! ... wakubwa hawajafurahishwa kabisa, hasa FBI, PENTAGON na CIA, kupekuliwa taarifa zao na wahuni wa mitaani akina 'BIG BALLS' na wenzie wengi! 🤣
USA KUMOTO!
View: https://youtu.be/R1w6k5yitUU
View: https://youtu.be/sRtyM24MPls
Jamaa anatimiza alichowahidi Wamarekani huenda ni vizuri au vibaya ila ndicho alichoahidi. Yani kaanza na illegal immigrants, dodge aliahidi na ndiyo hiyo, bado hajamaliza kaingilia na CIA, Panama washasanda, ila ana vurugu kinoma yani ni sawa ana legalize kuvamia nchi na kuchukua territory jambo ambalo walikuwaa wanamtuhumu mchina ila now wote wako kimya.Hivi huwa hachoki kupayuka🤣🤣🙌
Watu mnanondo aiseHuyo jamaa ashapigwa chini kwa sababu ya tweet yake aliyoandika kuwa I was a racist before I became cool.
Kapigwa chini tayari.
Musk sina hakika kama hii dodge itadumu kwa sababu kwanza wenzake wanadai anaenda kupitia tendor za serikali ambazo hata yeye makampuni yake pia yana mikataba ya 16 bilioni dollars na serikali.
Hivyo wanasema kuna conflict of interest kwa sababu yeye ndiye anachagua ni tendor ipi ibaki au isibaki wakati na yeye ni mnufaika wa tenda hizo.
Pia idadi ya mauzo ya Tesla yanauna Marekani na Ulaya kwa sababu nchi za Ulaya wanadai Musk ameanza kuingilia siasa zao.
Ila mimi namwona jamaa ni opportunist na sidhani kama ushikaji wao na Trump utadumu kwa zaidi ya miaka 3 kwa sababu Musk kama kitu hafaidiki nacho lazima akikandie ndiyo maana hata week chache nyuma alikuwa kama anakandia uwekezaji wa $500 bilioni wa data center kwa ajili ya AI kwa sababu yeye binafsi anamchukua Sam Altman na Sam Altman ni part of that deal.
... ELON MUSK ni pumbavu linalokata tawi lililokalia bila kujua!Huyo jamaa ashapigwa chini kwa sababu ya tweet yake aliyoandika kuwa I was a racist before I became cool.
Kapigwa chini tayari.
Musk sina hakika kama hii dodge itadumu kwa sababu kwanza wenzake wanadai anaenda kupitia tendor za serikali ambazo hata yeye makampuni yake pia yana mikataba ya 16 bilioni dollars na serikali.
Hivyo wanasema kuna conflict of interest kwa sababu yeye ndiye anachagua ni tendor ipi ibaki au isibaki wakati na yeye ni mnufaika wa tenda hizo.
Pia idadi ya mauzo ya Tesla yanauna Marekani na Ulaya kwa sababu nchi za Ulaya wanadai Musk ameanza kuingilia siasa zao.
Ila mimi namwona jamaa ni opportunist na sidhani kama ushikaji wao na Trump utadumu kwa zaidi ya miaka 3 kwa sababu Musk kama kitu hafaidiki nacho lazima akikandie ndiyo maana hata week chache nyuma alikuwa kama anakandia uwekezaji wa $500 bilioni wa data center kwa ajili ya AI kwa sababu yeye binafsi anamchukua Sam Altman na Sam Altman ni part of that deal.
Jamaa ni opportunist sana. Anataka South AFrika wabadilishe sheria zao kwa ajira ya starlink yani just kwa ajili ya kampuni yake. Anataka India nao wabadilishe sheria zao kwa ajili ya Tesla na Starlink.... ELON MUSK ni pumbavu linalokata tawi lililokalia bila kujua!
🤣
Huyo Musk ni tycoon mhuni tu, hakufaa kuhusika na mambo ya serikali.Huyo jamaa ashapigwa chini kwa sababu ya tweet yake aliyoandika kuwa I was a racist before I became cool.
Kapigwa chini tayari.
Musk sina hakika kama hii dodge itadumu kwa sababu kwanza wenzake wanadai anaenda kupitia tendor za serikali ambazo hata yeye makampuni yake pia yana mikataba ya 16 bilioni dollars na serikali.
Hivyo wanasema kuna conflict of interest kwa sababu yeye ndiye anachagua ni tendor ipi ibaki au isibaki wakati na yeye ni mnufaika wa tenda hizo.
Pia idadi ya mauzo ya Tesla yanashuka Marekani na Ulaya kwa sababu nchi za Ulaya wanadai Musk ameanza kuingilia siasa zao.
Ila mimi namwona jamaa ni opportunist na sidhani kama ushikaji wao na Trump utadumu kwa zaidi ya miaka 3 kwa sababu Musk kama kitu hafaidiki nacho lazima akikandie ndiyo maana hata week chache nyuma alikuwa kama anakandia uwekezaji wa $500 bilioni wa data center kwa ajili ya AI kwa sababu yeye binafsi anamchukua Sam Altman na Sam Altman ni part of that deal.
Putin anafurahia tu kuiendesha Marekani kwa rimoti.Ngoja nimuulize PUT IN ana maoni gani kuhusu hili kwanza.
Putin atakuwa anchekea chooni,Ngoja nimuulize PUT IN ana maoni gani kuhusu hili kwanza.
... kwa ujinga wa Musk, hata mafanikio aliyopata kwa muda mfupi ndani ya USA ni ya kutilia mashaka! ... ndo maana, kama ulivyodokeza awal, kitengo alichopewa hakikumsahili kabisa maana yu miongoni mwa watu wanaotakiwa wamulikwe!Jamaa ni opportunist sana. Anataka South AFrika wabadilishe sheria zao kwa ajira ya starlink yani just kwa ajili ya kampuni yake. Anataka India nao wabadilishe sheria zao kwa ajili ya Tesla na Starlink.
Yani yeye ni kama anajiona ni mtu wa kipekee anayetakiwa kupewa priority kuliko wengine. Urafiki wake na Trump hautadumu maana jamaa hawezi kujishikilia kama hafaidiki na jambo.
Ila tukiachana na Musk na hira zake, ila USAID ule ufadhili wao ulikuwa kuboko. Mambo mengine yanashangaza japo watu wanajiuliza, USAID ni 0.6% ya budget ambapo ni 40 bilioni dollars wakati Medicaid ambayo ni zaidi ya 2 tillioni dollars ambapo wanasema kuna upigaji wa kufa mtu mbona hajaenda huko?
Sasa hivi kila ukiamka kuna habari mpya kuhusu Marekani.
Mauzo ya Tesla yanashuka kwa kasi ila bei za hisa zinaongezeka nadhani investor bado wanaamini katika Tesla kisa Musk yuko connected na serikali maana kipindi yuko busy na kampuni yake ya kurusha rocket bei ya hisa zilishuka kwa wawekezaji kudai kuwa Musk yuko busy na kampuni nyingine sasa sijui kwanini kuwa busy na doge hakuwatishi.
Sasa kama ndivyo hali ikoje kwa Zeleboy?Putin anafurahia tu kuiendesha Marekani kwa rimoti.