Elon Musk ni mtu na nusu

Umenena vyema sanaaa
 
Ukitaka kumvutia kijana wa kitanzania anzisha mijadala ya
1. Simba na Yanga
2. Sifa za matajiri na yupi ana fedha zaidi.
3. Kula tunda kimahasira.
 

Sasa una hela kama Elon?
 
Kulingana na comment Yako Mimi sijui maana ya self-made.
Ndio maana nimekuomba unipe maana yake?
Nasubiri jibu ili nikaswaki
@Fursakibao ukipiga mswaki kunywa na chai kabisa, [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…