Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale wasengerema huwa wanashinda mashindano ya kunywa vodkaKwahyo urus hakuna matajir
Ford, GMC, Volvo ,Chinese companies etc sasa wote wanaachia electric cars na nyingine ni better and cheaper kuliko TESLA, sina uhakika kama domination ya Elon itaendelea kwenye hii market ambapo utajiri wake mkubwa ndipo ulipo, na liberals ambao ndio wateja wake wakubwa sasa wanaamini Elon ni hardcore right winger na hana tofauti na Trump, i feel sorry for the guy na watu wengi wameshamuona kama fascist NAZI tuu ambaye amezaliwa under privilege za apartheid.bado yuko karibu sana anytime anarudi chati.
Kwa hiyo kuanguka kwa utajiri wa elon wewe roho yako kwatu!KwFord, GMC, Volvo ,Chinese companies etc sasa wote wanaachia electric cars na nyingine ni better and cheaper kuliko TESLA, sina uhakika kama domination ya Elon itaendelea kwenye hii market ambapo utajiri wake mkubwa ndipo ulipo, na liberals ambao ndio wateja wake wakubwa sasa wanaamini Elon ni hardcore right winger na hana tofauti na Trump, i feel sorry for the guy na watu wengi wameshamuona kama fascist NAZI tuu ambaye amezaliwa under privilege za apartheid.
Kama huelewi sio lazima uchangieKwa hiyo kuanguka kwa utajiri wa elon wewe roho yako kwatu!
Wewe na Jiwe aliyekuwa anawafanya matajiri waiishi kama mashetani mna tofauti gani?
Kwelii kabisaa yaniii.Habari za tajiri muulize maskini
Hujui kitu Putin ni Tajiri kuliko hao.Wale wasengerema huwa wanashinda mashindano ya kunywa vodka