Elon Musk: Trump akishindwa Uchaguzi, naweza kufungwa na Democrats

Elon Musk: Trump akishindwa Uchaguzi, naweza kufungwa na Democrats

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
13,417
Reaction score
23,310
Elon Musk ni akili kubwa. Hajawahi kuwa na chama zaidi ya kuwa katikati mpaka 2022 ambapo alitangaza kwamba ataanza kupigia kura Chama cha Republican, akieleza kuwa Chama cha Democratic kimeegemea sana kwenye siasa kali.

Pia, ameikosoa serikali ya Biden mara kadhaa na kuunga mkono uhuru wa kujieleza, akionyesha wasiwasi kuhusu udhibiti wa mitandao ya kijamii.
 
Watu mnafikiri chama chochote kinachotawala ni ccm acheni hizo fikra za kijinga ccm iko Tanzania tu.
 
Back
Top Bottom