Billion za kutosha sanaNi sawa na madafu mangapi ya kibongo?
Alikuja kujitambulisha wazi baada ya ndoa kuvunjikaHuyu Elton si nilishoga?
Before then i loved this song.. Divorce ilimuumiza sanaElton John na Renate Blauel walifunga ndoa mwaka 1988 iliyodumu kwa miaka minne. Wakati wana achana walikubaliana kuwa kila mmoja hataongelea tena ndoa yao hiyo na walifunga mjadala.
Mwaka 2019 Elton John alivunja makubaliano hayo akiwa anaandika historia ya maisha yake. Renate Blauel alianza kuchukua hatua za kisheria kiangazi kilichopita na wamefikia makubaliano Elton John atamlipa £million 3.
View attachment 1600617
View attachment 1600618
Karibu bilion 7Ni sawa na madafu mangapi ya kibongo?
Kaka fikiria vile ambavyo huwezi kula chakula unachokipenda kutokana na matatizo ya kiafya. Huyu mama inaelekea aliona mengi sana na aliamua kumtoa jamaa katika maisha yake kabisa. Uje usikie anakuongelea kwenye historia ya maisha yake.Before then i loved this song.. Divorce ilimuumiza sana
Kuna uhalisia mwingi sana kaimba kwenye huu wimbo kwenye maisha ya ndoa
..Two souls living together in separate world...[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25] I once lived this life[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
Mwenyewe anahadithia baada ya divorce alianza kugawa tako bila breki, yaani mpaka leo anashukuru vile akuivagaa miwaya.
Sijawahi soma historia yake huyu jamaa.Mwenyewe anahadithia baada ya divorce alianza kugawa tako bila breki, yaani mpaka leo anashukuru vile akuivagaa miwaya.
Huku bongo ukinidai nakutafutia waganga wa makabila yote dadeki nakupiga kimbora moja hutakaa ukasahau,yaani kila ukienda kukojoa unakojoa dagaa wanaelea kwenye mkojo kama wako ziwa victoria,ukilala usiku ni unaota unakimbizwa mbayaaaaa..yaani kukikucha kwenye kesi huendi unaenda kuombewaElton John na Renate Blauel walifunga ndoa mwaka 1988 iliyodumu kwa miaka minne. Wakati wana achana walikubaliana kuwa kila mmoja hataongelea tena ndoa yao hiyo na walifunga mjadala.
Mwaka 2019 Elton John alivunja makubaliano hayo akiwa anaandika historia ya maisha yake. Renate Blauel alianza kuchukua hatua za kisheria kiangazi kilichopita na wamefikia makubaliano Elton John atamlipa £million 3.
View attachment 1600617
View attachment 1600618
Kuna mengi yasiyosemwaSijawahi soma historia yake huyu jamaa.
Ina maan aliamua kugawa tackle kisa talaka?[emoji849][emoji849]
Daaah
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
..Two souls living together in separate world...Huu ni uhalisia wa ndoa nyingi sana Mshana Jr ...Before then i loved this song.. Divorce ilimuumiza sana
Kuna uhalisia mwingi sana kaimba kwenye huu wimbo kwenye maisha ya ndoa
..Two souls living together in separate world...[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25] I once lived this life[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]