Elton John amefikia makubaliano ya kumlipa aliyekua mke wake £ milioni 3 kwa kuvunja makubaliano ya talaka yao

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Elton John na Renate Blauel walifunga ndoa mwaka 1988 iliyodumu kwa miaka minne. Wakati wana achana walikubaliana kuwa kila mmoja hataongelea tena ndoa yao hiyo na walifunga mjadala.

Mwaka 2019 Elton John alivunja makubaliano hayo akiwa anaandika historia ya maisha yake. Renate Blauel alianza kuchukua hatua za kisheria kiangazi kilichopita na wamefikia makubaliano Elton John atamlipa £million 3.


 
Before then i loved this song.. Divorce ilimuumiza sana
Kuna uhalisia mwingi sana kaimba kwenye huu wimbo kwenye maisha ya ndoa
..Two souls living together in separate world...[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25] I once lived this life[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]



 
Kaka fikiria vile ambavyo huwezi kula chakula unachokipenda kutokana na matatizo ya kiafya. Huyu mama inaelekea aliona mengi sana na aliamua kumtoa jamaa katika maisha yake kabisa. Uje usikie anakuongelea kwenye historia ya maisha yake.

Lakini £ milioni 3 kwa Elton John ni change tu.
 
Huku bongo ukinidai nakutafutia waganga wa makabila yote dadeki nakupiga kimbora moja hutakaa ukasahau,yaani kila ukienda kukojoa unakojoa dagaa wanaelea kwenye mkojo kama wako ziwa victoria,ukilala usiku ni unaota unakimbizwa mbayaaaaa..yaani kukikucha kwenye kesi huendi unaenda kuombewa
 
..Two souls living together in separate world...Huu ni uhalisia wa ndoa nyingi sana Mshana Jr ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…