Mnyaluhala.
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,430
- 1,785
Ukiacha ushetani wake, waandaaji wa matamasha wajifunze kitu hapo kwenye maandalizi ya tamasha hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elton John anaamua kupumzika amefanya farewell tour Australia
Naona kwenye picha amejipamba na rangi zake za LBGT. Mwache apumzike, maisha ni mafupi sana, atakumbukwa kwa mengi.Elton John anaamua kupumzika amefanya farewell tour Australia
Kweli ana mapesa ya kutosha, hivi mpaka sasa amesha-asili watoto wangapi?Pesa yake ni ndefu sana inamtosha kula na watoto wake.
Hii nilikuwa sijawahi kuisikia, Nakumbuka kama waliasili mtoto na mumewe David Furnish?Ana biological children through a surrogate mother.
Walipata na wakwao wawili ninadhani mbegu za kila mmoja zilichangia kwa zamu. Hao watoto wanalalia shuka za Gucci na wana full time nanny.Hii nilikuwa sijawahi kuisikia, Nakumbuka kama waliasili mtoto na mumewe David Furnish?
Yaani huyu jamaa tokea nilipokuja kujua kuwa sio riziki hata miziki yake sipendi kuisikiliza...Nashangaa sana mnamwita/anaitwa Sir Elton John..wakati inapaswa aitwe Madame Elton John.
Ha ha hata mimi punga lilitoa ngoma kali sanaPunga hilo. Japo lina nyimbo kama mbili hivi ninazo zikubali
Phill ni mme wake au nae punga ana ngoma kali sanaYuko kwenye game muda sasa, yeye na Phil Collins ni ma legendary
Elton John anaamua kupumzika amefanya farewell tour Australia
Nashangaa sana mnamwita/anaitwa Sir Elton John..wakati inapaswa aitwe Madame Elton John.
Ali funga ndoa kanisani, lakini mkewe inwezekana alilipwa pesa nyingi hajawahi kumuongelea Elton wala maisha yao ya ndoa.