Emanuel Giniki ashinda Kilimanjaro Marathon 21K

Emanuel Giniki ashinda Kilimanjaro Marathon 21K

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
416
Reaction score
414
Mwanariadha wa kimataifa Emanuel Giniki ashinda Mbio za Kilimanjaro Marathon kwa Nusu Marathon (21K) kwa kutumia Muda wake mzuri Sana (Personal Best) wa 1:00:34 , akifuatiwa na Gabriel Gerald Geay na Inyasi Sulley mashindano yaliyofanyika Moshi, Kilimanjaro na kuhudhuriwa na Waziri mkuu.

Japo, Giniki Ameshinda ila sio miongoni mwa wachezaji waliyochaguliwa kwenye Kambi ya Taifa ya Jumuiya ya Madola.

Kamati ya Ufundi ya RT, imechemka Sana, Wanafanya kazi Kwa kutazama majina.
 
Safi kwa ushindi. Na pole kwake kwa kunyang'anywa tonge mdomoni. Labda hakua na takrima kwa viongozi maana siku hizi pesa kwanza
 
Mwanariadha wa kimataifa Emanuel Giniki ashinda Mbio za Kilimanjaro Marathon kwa Nusu Marathon (21K) kwa kutumia Muda wake mzuri Sana (Personal Best) wa 1:00:34 , akifuatiwa na Gabriel Gerald Geay na Inyasi Sulley mashindano yaliyofanyika Moshi, Kilimanjaro na kuhudhuriwa na Waziri mkuu.

Japo, Giniki Ameshinda ila sio miongoni mwa wachezaji waliyochaguliwa kwenye Kambi ya Taifa ya Jumuiya ya Madola.

Kamati ya Ufundi ya RT, imechemka Sana, Wanafanya kazi Kwa kutazama majina.

Kule hakuna nusu marathon
 
Back
Top Bottom