🇹🇿TV za bongo siku nzima ziko busy na SOKA, SIMBA YANGA kila mtu anajifanya mchambuzi, wameua michezo mingine,
🇹🇿Hii soka haijawahi na haitawahi kuiletea sifa Tanzania kwa wimbo wa Taifa kupigwa katikati ya mataifa na bendera yetu inapandishwa
🇹🇿Sijajua ni kwa nini wanalazimisha hili dubwashika linaloitwa football wakati hatuna kipaji nalo. Wajanjawajanja na wasanii ndiko wslikojifichia
🇹🇿Hongera sana Mwanariadha ijapokuwa sikujui ila leo wimbo wa Taifa umepigwa na bendera yetu imepandishwa. Suhiri urudi ndio wakupelele bungeni kwenda kupiga selfie na hao washabiki wa soka ambao ni watungasheria