Emanuel mbasha anahitaji ushauri, tokea achukuliwe mke hayuko sawa kabisa

themagnificient

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
1,033
Reaction score
3,720
Nimeanza kumjua huyu bwana kupitia kwa mkewe wa zamani madam flora, kipindi hicho mbasha alikuwa ni mwanaume anayeheshimika na mstaharabu sana, Mbasha alikuwa ni mtu mpole na mnyenyekevu asiyependa makuu na watu enzi hizo yupo na madam Flora

Lakini tokea achukuliwe mke na Daudi kusekwa ndugu yetu amekuwa kama kangeuka, huko mitandaoni anarushiana maneno makali na watu huku anajiita baba wa waimbaji wote wa nyimbo za injili
View attachment 1087638
 
Itakuwa ni vizuri kama pia kajiuliza atakapo kufa yeye atakumbukwa kwa lipi...?
 
Naona kaweka picha mbaya ya Mbowe,ya Mange aliweka nzuri naona anaogopa kichambo cha Mange.
 
Kabisa jamaa enzi hizo ndio wanatoa wimbo wao wa jipe moyo alikuwa anaonekana mple sana,heshima kama zote!! ila Kusekwa kajua kumyoosha!!
 
Huyo mbasha akikojoa anasimama au anachuchumaa?
 
Tuachane na Mbasha kwanza, huyo ni Mbowe?
 
Uyu jamaa simuelewagi ana mambo flan ivi...!Sasa ndo nini kupost picha io...Kiande kweli!
 
ukijua kabila lake,utaacha kumshangaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…