Emanuel nchimbi likitokea lolote anaweza kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.je tumempima anaweza kufaa kuwa rais wa nchi?

Emanuel nchimbi likitokea lolote anaweza kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.je tumempima anaweza kufaa kuwa rais wa nchi?

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Kwa mujibu wa katiba yetu ,rais aliyepo madarakani ikitokea kapata dharula ya ugonjwa ambao hawezi Tena kuhudumu kama rais wa nchi ama kupatwa na umauti basi makamu ndiye atarithi nafasi yake ,swali ni je huyu nchimbi anaweza kuvaa viatu vya rais ? Tunaweza kujikuta kwa mara ya kwanza tunapata rais mngoni ? Labda Mimi si mjuvi wa mambo ila nilidhani nafasi ya makamu wa rais kwa sasa wawe wanapewa vijana under 40
 
Kwa mujibu wa katiba yetu ,rais aliyepo madarakani ikitokea kapata dharula ya ugonjwa ambao hawezi Tena kuhudumu kama rais wa nchi ama kupatwa na umauti basi makamu ndiye atarithi nafasi yake ,swali ni je huyu nchimbi anaweza kuvaa viatu vya rais ? Tunaweza kujikuta kwa mara ya kwanza tunapata rais mngoni ? Labda Mimi si mjuvi wa mambo ila nilidhani nafasi ya makamu wa rais kwa sasa wawe wanapewa vijana under 40
Ndugu umepanga nn mbelen mbona sijkuelewa
Lakutokea LOLOTE lipi
 
Furushi la mavi tunalo sababu ya kosa la kwanza, kwa dalili zilizopo tutaendelea kuwa nalo kwa miaka 5 ijayo.

Tuzoee uvundo tu na maisha yaendelee.
 
Subiri kizimkazi hakusikie .Kesho watakuundia ubalozi nchini tuvalu watakupeleka haina viza na ina barabara moja tu.
sddassad.jpg
 
Hata zezeta au chizi anaweza kuwa raisi wa Nchi hii, cha muhimu ni kuboresha Yanga na Simba kwasababu Wananchi wako radhi kuandamana kwa gazabu kwa ajili ya Simba Yanga hata kama wanashindia mlo mmoja.
 
Makam Bado ni Dr Mpango Hadi pale serikali ikishavunjwa!!!
Kwasasa nchimbi hajapigiwa kura labda baada ya uchaguzi wa oktoba ukikamilika ndio uwaze hayo!!
 
Kwani kuna tofauti gani kati ya chura kiziwi na nchimbi?

Kwa kifupi ccm hakuna hazina ya raslimali watu, kuna machawa
 
Hata zezeta au chizi anaweza kuwa raisi wa Nchi hii, cha muhimu ni kuboresha Yanga na Simba kwasababu Wananchi wako radhi kuandamana kwa gazabu kwa ajili ya Simba Yanga hata kama wanashindia mlo mmoja.
Chukua peksi ya baridi mkuu
 
Hata zezeta au chizi anaweza kuwa raisi wa Nchi hii, cha muhimu ni kuboresha Yanga na Simba kwasababu Wananchi wako radhi kuandamana kwa gazabu kwa ajili ya Simba Yanga hata kama wanashindia mlo mmoja.
Watanzania wengi hawana akili timamu nakuunga mkono kwenye hili
 
Back
Top Bottom