Emanuel nchimbi likitokea lolote anaweza kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.je tumempima anaweza kufaa kuwa rais wa nchi?

Kwa nini una wasiwasi kuwa na Rais Mngoni?😀
 
nchimbi ni katibu wa chama cha mambuzi, huo urais aupate wapi?
makamu wa rais ni Isdori Philip Mpango
 
Kwani wanapimwa wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…