Emanuel Nkulila's song: Pain in Me

Emanuel Nkulila's song: Pain in Me

2003 kuna sehemu anapenda sana kuja hapo maeneo ya moshi nilishamkuta kama zaidi ya mara 4 sijui ndugu zake au huyu jamaa katokea mkoa gani
 
Nkulila ni mwanamuziki mzuri aliyebobea sana katika muziki, nadhani kasomea Muziki. Nyimbo zake zote nilizowahi kusikia zimetungwa vizuri sana, ila yeye mwenyewe siyo mwimbaji mzuri; nadhani aliwekeza zaidi katika music composition na arrangement kuliko vocals zake. Wanamuziki vijana wetu wa leo wangemtumia kuwasaidia katika kupangilia nyimbo zao wangetisha sana Afrika!
 
Back
Top Bottom