Emanuel Okwi wa Simba acha dharau

ntamaholo

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
12,938
Reaction score
6,942
Wana bodi, nimekuwa nikimfuatilia mchezaji huyu, utemaji wake wa mate umejaa dharau iliyopindukia.

Anavyotoka uwanjani ana kseaida ya kutema udenda kabisa kama toto dogo lenye madenda na makamasi.

Ajiheshimu buana, anasababisha hadi tunaokula au kunywa kushikwa na kichefuchefu.

Kwa nini usiteme kistarabu?

Wacha uboya buana[emoji17] [emoji18] [emoji30]
 
Ndiyo kisa cha kusugua benchi uzunguni
 
Bado tarehe 28 utaenda Amana ile wodi inayoongeza idadi ya watu.
 
Kaa tayar na ww anakuja kukutemea
 
Bado najaribu kulazimisha kukata uhusiano wa Dharau unayoisema na kitendo cha Okwi kutema mate sipati upatanisho wa kisarufi!
 
Fanya mpango apewe kadi za njano hata mazoezini asicheze 28/10/2017
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…