NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
ninavisheti huvioni mkononi?
Ya Zenj mkuu unatungua mwenyewe au yamelala chini tayari yametunguliwa?mie nataka la kuangua mwenyewe
ndio naona niko peke yangu,,,,,,, mh,,, hii jf hii,,,
ooooohhh haya twende,,
embe maziwa kwa afya
first lady nidokolee embe ni lipi japo pm,, najihisi nimeachwa mwenzako,,
nimeshakuchukua, tuondoke bibie
Mpitie na embe sindano hapo mitaa ya nyuma...
Jamani je lile embe sindano kwa kina dada mmelila, unakula linangangania kwenye fizi lakini bado unanyonya tuuuuuuu.....
unaangua mwenyewe, na kadri unavyojishughulisha ndio unavyozidi kupata mengi
nishamnunulia, na limemenywa kabisa tayari kuliwa
Kuna ashakula embe aina ya "Nyonyo" hilo ndio, mwisho wa mambo, jaribu uone. Ila linahitaji usafi zaidi, la sivyo utajichafua!!
Mkuu inabidi tuhamie Zenji, CV zake mkuu nidokeze maana nisiingie kichwa kichwa, Zenji napaogopa kina yakhe hawachelewi kukugeuza embe la msimu....
this is very nyuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,........................ mpya kabisa hiyo inapatikana wapi hiyo embe....
Kuna ashakula embe aina ya "Nyonyo" hilo ndio, mwisho wa mambo, jaribu uone. Ila linahitaji usafi zaidi, la sivyo utajichafua!!