Annonymous
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 688
- 1,126
π―π―π― mwendo wa tege hpana. Kugongwa na motokaa sio shida shida spika zitabaki zinatoa kale kamlio ketu pendwaaaa, kale kembamba kakistaarabu kanakobadirisha story hata kama n kikao cha harusi wajumbe wanakajadiriAngalia sasa usinywe ukapitiliza ukagongwa na gari
[emoji54][emoji54][emoji54] mwendo wa tege hpana. Kugongwa na motokaa sio shida shida spika zitabaki zinatoa kale kamlio ketu pendwaaaa, kale kembamba kakistaarabu kanakobadirisha story hata kama n kikao cha harusi wajumbe wanakajadiri
DadeQ halafu usife. Labda kama sio sherehe ya To yeyeJichanganye utoe ahadi ya kuchangia pesa
Kwi kwi kwi[emoji23][emoji23][emoji23] huyo sherehe yake nagharamikia mimi
Kwi kwi kwi
Mimi natoa bajaji ya kuwapeleka kihomeboy
Hana baja bibietWew kumbuka umelewa chalii sasa unapo haidi ukumbukee kuwa haukufi kesho
Na umejiunga juzi lakini teyali ushaaza tukana watu tutafika kweliSasa hiyo two ndo nn?
Mbona una swaga za kishoga mkuu?
Kumbuka huyo ni shemeji yang aseHana baja bibiet
Anapata mgao wa pombe kali anakalia gogo anameza kazi kwisha
πππ
Basi andika tu badala ya two au tyuuu.Na umejiunga juzi lakini teyali ushaaza tukana watu tutafika kweli
SijakuelewaBasi andika tu badala ya two au tyuuu.
Mpe Hi uncle wetu wa ulokunywa soda yake.
Andika "tu" na sio two.Sijakuelewa
TeyaliAndika "tu" na sio two.
Andika "tu" ma sio tyuu.
Oh oh sasa nimekuelwa ππBasi andika tu badala ya two au tyuuu.
Mpe Hi uncle wetu wa ulokunywa soda yake.
ππ²πππKumbuka huyo ni shemeji yang ase
Nitalipot kwa kaka mkubwa aseππ²πππ