Nimefanyaje?
Mtoa post embu njoo kwa pm.dronedrake uje bas nikuulize kitu?
Sema...Umeniruhusu niseme?
Hatari sana na inasikitisha sana, umechukua maamuzi gani? Kunipeleka kwenye dawati la jinsia...Nilisema unimwagie maji kwa kutumia ndoo iliyowazi wewe ukanimwagia maji kwa kunitupia ndoo yenye mfuniko then ikanichubua 😭
Ukishalowana watakuchania nguo...Sikupeleki kokote,wakinimwagia wengine bila kufunika usinilaumu
Usidhubutu kukutwa na bwana pepsi...😭 😭mimi mwenyewe naona.....mwenyewe najihurumia