Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Pamoja na hawa watu kujimwambafy kwamba wamepitisha hili azimio ovu biggest majority wanaugulia maumivu .ombi langu kwa hawa wafuatao.
1. Naomba experts wa JF waandae petition kukataa haya maazimio ambayo in reality hayareflect maoni ya wananchi.
2. Ombi la pili naomba expert wa jf waandae page ili tutunze record ya wabunge wote wa sasa ili baadae tuwa hold accountable.
3. Nawaomba viongozi wetu wa kisiasa warudi nchini ili tuutafakari huu mkataba pamoja kabla hawa ma sell out hawajafila popote.
Research ya maoni mitandaoni hawa watu wamepandisha joto na watu wengi wako tayari kutoa contribution yoyote kuepuka madhara tunayotegemea kutokea huko mbele.
Nawatakia asubuhi njema
1. Naomba experts wa JF waandae petition kukataa haya maazimio ambayo in reality hayareflect maoni ya wananchi.
2. Ombi la pili naomba expert wa jf waandae page ili tutunze record ya wabunge wote wa sasa ili baadae tuwa hold accountable.
3. Nawaomba viongozi wetu wa kisiasa warudi nchini ili tuutafakari huu mkataba pamoja kabla hawa ma sell out hawajafila popote.
Research ya maoni mitandaoni hawa watu wamepandisha joto na watu wengi wako tayari kutoa contribution yoyote kuepuka madhara tunayotegemea kutokea huko mbele.
Nawatakia asubuhi njema