Emergency: Mgonjwa aanze kuongezewa damu au maji?

Emergency: Mgonjwa aanze kuongezewa damu au maji?

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,794
Reaction score
5,352
Ikitokea hivyo na wewe ni mtoa huduma ya kwanza; ya pili au ya mwisho?

Mtu kapungukiwa maji na damu.
 
Unawezaje kujua kuwa mtu huyu kapungukiwa damu na maji kwa wakati mmoja tena inaonesha hali ni mbaya zaidi bila ya kuwa ni mtendaji wa kata ya afya?

Anyway kwa akili yangu namuongezea drip za maji.

Maana damu ina process nyingi mpaka nimuwekee. Naanza na maji then damu.
 
Unawezaje kujua kuwa mtu huyu kapungukiwa damu na maji kwa wakati mmoja tena inaonesha hali ni mbaya zaidi bila ya kuwa ni mtendaji wa kata ya afya?

Anyway kwa akili yangu namuongezea drip za maji.

Maana damu ina process nyingi mpaka nimuwekee. Naanza na majambazi then damu.
Asante
 
Inatokana na kipi kimesababisha upungufu wa damu na maji. Kama mtu unemkuta ana sign zote za upungufu wa damu na maji , tafuta sababu , kama mtu ameumia damu imetoka sana .. anza kuongeza maji huku ukiwa unatafuta damu , kama damu unayo hapo hapo na ilishapimwa wewe ongeza damu moja kwa moja. Maji yatajiongeza na damu.
 
Inatokana na kipi kimesababisha upungufu wa damu na maji.
Kama mtu unemkuta ana sign zote za upungufu wa damu na maji , tafuta sababu , kama mtu ameumia damu imetoka sana .. anza kuongeza maji huku ukiwa unatafuta damu , kama damu unayo hapo hapo na ilishapimwa wewe ongeza damu moja kwa moja. Maji yatajiongeza na damu.
haha sawa mkuu
 
Mkuu ahsante kwa swali lako,

Lakini swali lako linalenga afya ya binadamu, kama wewe hujasomea mambo ya afya nna uhakika huwezi kuelewa,

Anyway
Ili mtu aongezewe maji lazima awe amepungukiwa maji, njia inayotumika kubashiri upungufu wa maji mwilini ni historia ya mgonjwa, kama atasema alitapika au kuharisha sana na anaonekana kukosa nguvu, kitu kingine ni ngozi huangaliwa kwa kufinywa kidogo ikitumia muda mrefu kurudi ktk hali yake ya kawaida basi upungufu wa maji unaweza kuhofiwa,
Zipo dalili nyingi tu.

Kuhusu kupungukiwa damu, ili useme kuwa mgonjwa amepungukiwa damu lazima uchukue sampuli yake ya damu uipereke maabara ikapimwe kiasi cha Haemoglobin,

Tuje kwenye swali lako sasa, mgonjwa kuongezewa damu au maji inategemea na tatizo alilonalo, mfano mgonjwa wa moyo ukimuongesea maji kwa kukurupuka unaua,

All in all nenda kasomee mambo ya afya maana nnashindwa hata nikujibu vipi ndio maana watu husoma miaka 4 mpaka mi 5
 
Mkuu ahsante kwa swali lako,

Lakini swali lako linalenga afya ya binadamu, kama wewe hujasomea mambo ya afya nna uhakika huwezi kuelewa,

Anyway
Ili mtu aongezewe maji lazima awe amepungukiwa maji, njia inayotumika kubashiri upungufu wa maji mwilini ni historia ya mgonjwa, kama atasema alitapika au kuharisha sana na anaonekana kukosa nguvu, kitu kingine ni ngozi huangaliwa kwa kufinywa kidogo ikitumia muda mrefu kurudi ktk hali yake ya kawaida basi upungufu wa maji unaweza kuhofiwa...
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom