Emergency response team ya Dar es Salaam imekua kulinganisha na zamani

Emergency response team ya Dar es Salaam imekua kulinganisha na zamani

Hahaha statistics zinahitaji data, siyo kufikiri tu. Mkumbuke Ntogwisangu na umpe heshima yake mkuu.
Kufikiri ni Qualitative data!
By the way rudi nyuma mwaka kuanzia 23
 
Kufikiri ni Qualitative data!
By the way rudi nyuma mwaka kuanzia 23
Nini kimeboreka sasa? Idara husika ya zima moto na uokoaji, hawana vifaa kukatia nondo ngumu, na nguzo za jengo, hawana vifaa vya kuinulia vitu vizito kama craine, hawana buldozer kuondoa vifusi, na hawana malori kubeba vifusi kutoka eneo la tukio.

Coordination siyo nzuri kabisa, waokoaji ni wananchi waliorundikana eneo la tukio bila sababu za msingi, jeshi la polisi wapo wanaangalia bila kuzuia au kupunguza mlundikano wa watu waliojazana na kufanya zoezi kuwa gumu.

Hakuna command center, yenye kupokea na kutoa taarifa kwa mpangilio, hakuna mpangilio kwa watoa huduma ya kwanza kwa majeruhi, wakae wapi nani anatoa huduma ya kwanza na nani anafanya assessment ya nani apelekwe hospitali kwa haraka.

Ingewezekana kuwe na helipad ya kutua helikopta kuwahisha majeruhi kwa helicopter za polisi.

Incident command center iandae utaratibu nani anakaa wapi nani anafanya nini, huo ndio utaratibu wa shughuli za uokoaji kwenye majanga yoyote yanapotokea.

Sijui miaka gani tutafikia kuwa na uwezo huo.
 
Nini kimeboreka sasa? Idara husika ya zima moto na uokoaji, hawana vifaa kukatia nondo ngumu, na nguzo za jengo, hawana vifaa vya kuoinulia vitu vizito kama craine, hawana buldozer kuondoa vifusi, na hawana malori kubeba vifisi kutoka eneo la tukio.

Coordination siyo nzuri kabisa, waokoaji ni wananchi waliorundikana eneo la tukio bila sababu za msingi, jeshi la polisi wapo wanaangalia bila kuzuia au kupunguza mlindikano wa watu walijazana na kufanya zoezi kuwa gumu. Hakuna command center, yenye kupokea na kutoa taarifa kwa mpangilio, hakuna mpangilio kwa watoa huduma ya kwanza kwa majeruhi, wakae wapi nani anatoa huduma ya kwanza na nani anafanya assessment ya nani apelekwe hospitali kwa haraka. Ingewezekana kuwe na helipad ya kutua helikopta kuwahisha majeruhi kwa helicopter za polisi.

Incident command center iandae utaratibu nani anakaa wapi nani anafanya nini, huo ndio utaratibu wa shughuli za uokoaji kwenye majanga yoyote yanapotokea.

Sijui miaka gani tutafikia kuna na uwezo huo.
Huwezi kuona 100% ya theory ..
Una uhakika kwamba command center haipo?Incident commender hayupo?
au ni kwa kuwa millard Ayo hajapost.usiwe na conclusion kwa kuangalia hivi vyombo vya habari vys hovyo vyenye kuajiri vilaza wa St xxx
 
Huwezi kuona 100% ya theory ..
Una uhakika kwamba command center haipo?Incident commender hayupo?
au ni kwa kuwa millard Ayo hajapost
Well, ulitakiwa kusema kama ipi au yupo, sasa ukisema kwa kuwa Milard Ayo hajaripo, mimi na wewe naamini hatuko kwenye eneo la tukio lakini tunaona kupitia youtube video zinazurushwa na watu mbali mbali kutokea kwenye eneo la tukio. Assessment yangu siyo sawa na yako.

Binafsi nimeona zoezi linaendeshwa kienyeji, yani mlundikano wa watu wanaangalia, badala ya kupisha wahusika wafanye kazi.

Nimeona polisi wamesimama pembeni bila kufukuza watu/watazamaji kwenye eneo la tukio kurahisisha shughuli ya uokoaji, kwa kufungua njia za magari ya wagonjwa yatokayo na kuelekea eneo la tukio.

Sikuona vifaa kama craine,bulldozers na malori kwenye zoezi hilo, hivyo nikatoa mawazo yangu ya nini kilipaswa kufanyika kwa utaratibu.

Sasa kama wewe upo eneo la tukio na ni moja ya watoa huduma tupe taarifa ya uboreshaji, kwa data siyo kusifia bila data.
 
Well, ulitakiwa kusema kama ipi au yupo, sasa ukisema kwa kuwa Milard Ayo hajaripo, mimi na wewe naamini hatuko kwenye eneo la tukio lakini tunaona kupitia youtube video zinazurushwa na watu mbali mbali kutokea kwenye eneo la tukio. Assessment yangu siyo sawa na yako.

Binafsi nimeona zoezi linaendeshwa kienyeji, yani mlundikano wa watu wanaangalia, badala ya kupisha wahusika wafanye kazi.

Nimeona polisi wamesimama pembeni bila kufukuza watu/watazamaji kwenye eneo la tukio kurahisisha shughuli ya uokoaji, kwa kufungua njia za magari ya wagonjwa yatokayo na kuelekea eneo la tukio.

Sikuona vifaa kama craine,bulldozers na malori kwenye zoezi hilo, hivyo nikatoa mawazo yangu ya nini kilipaswa kufanyika kwa utaratibu.

Sasa kama wewe upo eneo la tukio na ni moja ya watoa huduma tupe taarifa ya uboreshaji, kwa data siyo kusifia bila data.
Wewe baki na observations zako za podcasts na tiktok acha wanaojua wafanye kazi ...kumbuka theory can never be 100 % practical.
Hivi unashauri grader na cranes zivunjevunje Na kusawazisha wakati kuna watu wanaongea huko kwenye kifusi,? na oxygen hukuiona kwa kuwa ni colourless
 
Ukweli usemwe.

Hakika naiona coordination ya hali ya juu namna Team ya kukabiliana na Majanga Dar es Salaam inavyoweza kupambana na majanga ya kipekee na ya aina tofauti tofauti.

Tuendelee kutambua mapungufu ili wayaboreshe siku hadi siku.

Mungu awape nguvu frontliners wote na wananchi kwa ujumla.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Jina lako linasadifu haiba yako.
 
Wewe baki na observations zako za podcasts na tiktok acha wanaojua wafanye kazi ...kumbuka theory can never be 100 % practical.
Hivi unashauri grader na cranes zivunjevunje Na kusawazisha wakati kuna watu wanaongea huko kwenye kifusi,?
Hahah uchawa ni tatizo kubwa sana, yani ulidhani observation zako ndiyo nzuri, na muarobaini wa disaster recovery? Nimetoa observation kwa kukukueleza nilichokiona, wewe unasifia bila kutoa facts, unasema kijumla jumla tu kwamba disaster recovery plan imeboreka. Unataka tusifie au unadhani hii ni stant kuijenga ccm?

Nimekuuliza nini kimeboreka, nikakueleza nini kilitakiwa kupatikana kwenye tukio, siyo muda huo huo lakini kwa muda wa tukio hadi sasa tungeona command center imesha kuwa established, na ingekuwa imeshapanga watu kulingana na requirements za disaster/incident recovery plan.

You need a good coordination plan to achieve this, siyo ubishi na ujuaji wa ki ccm hapa.

Bahati nzuri, niliwahi kuhudhuria mafunzo ya majanga ndani na nje ya nchi, ingawa hayakuwa kwa level kubwa lakini nina idea ya nini kinahitajika.

Nani kasema craine na bulldozer ni kuvinja vunja na kusawazisha? Hahaha sasa nguzo nzito zile na nondo unazisogeza kwa mkono?

Unahitaji Craine kuinua, na kuna maeneo unahitaji mikasi mikubwa na yenye nguvu kukata, nguzo na nondo zake ili kuwafikia waokolewaji, sasa unatumia nyenzo gani kwa akili yako?

Kuna kifusi kinahitaji kutolewa kusaidia kuwafikia waokolewaji na kuwasaidia waokoaji kufanya kazi, unatumia koleo au mikono? Una bebaje hicho kifusi?

Unadhani kila anye andika humu hana uelewa, au wewe tu unafahamu hilo?
 
Ukweli usemwe.

Hakika naiona coordination ya hali ya juu namna Team ya kukabiliana na Majanga Dar es Salaam inavyoweza kupambana na majanga ya kipekee na ya aina tofauti tofauti.

Tuendelee kutambua mapungufu ili wayaboreshe siku hadi siku.

Mungu awape nguvu frontliners wote na wananchi kwa ujumla.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Jinga kama Jinga.
 
Ukweli usemwe.

Hakika naiona coordination ya hali ya juu namna Team ya kukabiliana na Majanga Dar es Salaam inavyoweza kupambana na majanga ya kipekee na ya aina tofauti tofauti.

Tuendelee kutambua mapungufu ili wayaboreshe siku hadi siku.

Mungu awape nguvu frontliners wote na wananchi kwa ujumla.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Nilichoona ni Watanganyika wenzetu with bare hands na bila vifaa vya uokozi wakifanya juhudi kuokoa watu na mali zao
 
Back
Top Bottom