Emigani y’Ekihaya (Misemo ya kabila la wahaya)

Emigani y’Ekihaya (Misemo ya kabila la wahaya)

hahaha wakola mutabani. kyonka wakimanya? Akawe kawe akatali kawe kakuteza eirombe!
Hahahaah hata sikijui najua tu hiyo wakora waitu.......japo sijui maana yake.
 
Nimesema ahsante mwanangu(wa kiume) lakini umefahamu maana yeke? nikaongeza saying nyingine inayosema chako ni chako kama si chako utakesha kwenye baridi ukiwalindia wenzio. ( Am not sure if am right).
 
"Orwo kubiba obyate"
"Ondiwo bakulio "
"Bishanga abashaija anbakazi babona enshonga"
Hahahaaaaaa
 
Mshenzi ni wewe unaye..... na dada mtu halafu unasema njoo .... mshenzi we. Unawezaje ku.... na mshenzi ina maana wewe ndo king of washenzi. Pole.
Nakwambia mama yako mtamu kamuonje, koma kutukana makabila ya watu
 
Jamani mnatutenga humu jamvini tusiojua lugha hiyo........
Mjasiriamali umemaanisha nini hapo juu kwenye "Ekyawe kyawe kijunda nokala!" ???
"Chako ni chako kinaoza unabanika"
Nadhani umeelewa
 
Akake niko kabusasa.
Atakumanya akweta iwe,
Ebolibona bilishag'eblyolilya.
.... Hii naipenda zaidi ... "Olwokunywegel'omubi Olelambe"
 
Kabikanye afa atashweile

Omwange otahe, kyonka oijuke ekyowankozile

Kaalo obulungi, mbali otalaile

Entaulila esabala bwaibumba
 
Back
Top Bottom