Emigani y’Ekihaya (Misemo ya kabila la wahaya)

Emigani y’Ekihaya (Misemo ya kabila la wahaya)

Isi aba mwabatulaki okwo bal' Omuipakasa:-

1. Malaya mbarabara n' Owe nkaito alabamu

2. Malaya ni kabandole (Ebasi) agobela akuba.

3. Malaya n' Omusuma tibamanya munaku.

4. Malaya aba mushande ashekela mbali byezile.
Omusuma anga omushuma, ninshaba mutujune mutushobolole.
 
Ingekuwa Busara kwa aliyepost thread hii akajenga hoja kwa Administrator wa site ili kama ataona kuna haja awaanzishie Room for Haya language.

Vingenevyo naweza kusema mambo mawili:

1.Misemo kama misemo sio kitu kibaye kwenye jamii, hivyo ilitakiwa ukishaandikwa kihaya utafsiriwe ama kiswahili au chingereza ili watu wapate maana yake, pengine misemo hiyo inaweza kuwa na maana ya msingi tu katika maisha yetu ya kitanzania na kidunia ya kila siku. Lakini kuacha bila tafsiri ni matumizi mabaya ya muda wetu sisi wana JF tusiojua lugha husika. Naona reply yangu hii iwe onyo kwako mwandishi kwamba tupo kufundishana na kueleweshana hapa na sio kupotezeana muda.

2.kwa kupost kitu kama hiki katika jamii ambayo hujaiandaa maana yake ni kutufundisha na kutukumbusha kwamba pamoja na nguvu nyingi alizotumia muasisi wa taifa hili kupiga vita ukabila bado kwa nyinyi wahaya safari bado ndefu. Sana sana wazo jingine pengine ni namna ya kujaribu ku tress how many hayas are there on the JF room, mimi sio msemaji wa forum lakini nina hakika forum hii haikuandaliwa kwa hilo.

Myself i am trying to be out of the habit like yours, once i managed take your part you will also be the same.

BE GOOD MAN!
 
Ayabinga sho takagarukile ohi tata mwaha nashabuka kyamugera..
 
Naomba mnielimishe Katerero nini nasikia ni katamu sana hivi inakuwaje? Huwa nasikia tu.
 
Naomba mnielimishe Katerero nini nasikia ni katamu sana hivi inakuwaje? Huwa nasikia tu.

Tukwegese? Chei waitu...otele akooma okwo abanyamahanga mugila
 
akukilize akateza eyo-okwete!

Muboine okwo Omu-Mujungu Omu-canada achweilelwe omushelukari ebichwantwa, babona bamushubye owabo! kai alamutoijera omutwale omundamulani aho emisaada waija wakikwasa?? akukizile akukizile, akuteza eyo okwete!
 
Ingekuwa Busara kwa aliyepost thread hii akajenga hoja kwa Administrator wa site ili kama ataona kuna haja awaanzishie Room for Haya language.

Vingenevyo naweza kusema mambo mawili:

1.Misemo kama misemo sio kitu kibaye kwenye jamii, hivyo ilitakiwa ukishaandikwa kihaya utafsiriwe ama kiswahili au chingereza ili watu wapate maana yake, pengine misemo hiyo inaweza kuwa na maana ya msingi tu katika maisha yetu ya kitanzania na kidunia ya kila siku. Lakini kuacha bila tafsiri ni matumizi mabaya ya muda wetu sisi wana JF tusiojua lugha husika. Naona reply yangu hii iwe onyo kwako mwandishi kwamba tupo kufundishana na kueleweshana hapa na sio kupotezeana muda.

2.kwa kupost kitu kama hiki katika jamii ambayo hujaiandaa maana yake ni kutufundisha na kutukumbusha kwamba pamoja na nguvu nyingi alizotumia muasisi wa taifa hili kupiga vita ukabila bado kwa nyinyi wahaya safari bado ndefu. Sana sana wazo jingine pengine ni namna ya kujaribu ku tress how many hayas are there on the JF room, mimi sio msemaji wa forum lakini nina hakika forum hii haikuandaliwa kwa hilo.

Myself i am trying to be out of the habit like yours, once i managed take your part you will also be the same.

BE GOOD MAN!

Iwe oli-shughi!
 
Ichi nkiki mohamba ko Kihaya! Waleu, dedenyi lugha ya taifa...cha!
 
Back
Top Bottom