Emigani y’Ekihaya (Misemo ya kabila la wahaya)

Emigani y’Ekihaya (Misemo ya kabila la wahaya)

mbona sijaona lolote kwa hao wanaosema wahaya bali ni kukimbia bed kwa ukali wa machine ina kuwaje bojo wakora waitu
 
omuli JF - BUKOBA FOOTBALL CLUB
1-SOA--goalkeeper
2-mjasirimali--captain
3-ngonzi--treasurer
4-Elnino--- ogu alaba omulogi we team
5
6
7
8
9
10
11
 
omuli JF - BUKOBA FOOTBALL CLUB
1-SOA--goalkeeper
2-mjasirimali--captain
3-ngonzi--treasurer
4-Elnino--- ogu alaba omulogi we team
5
6
7
8
9
10
11

Wanshekya muno Ta Son of alaska, Ta Elnino wa bihurira ebyo? oyetahidi ukole burogi e team e funge
 
Asanteni kwa misemo hii ya kihaya na makabila mengine, itakuwa vema mkatafsiri ili nasi tupate utamu. Msiwe wachoyo
 
Oruhaya noshanoti ndubailukao, "kutongoza" kwa kihaya ni "Okushelela".
Omuruhaya tabumu bogambo ebi:-
-Cho eba Kyo (mfano Chonka eba kyonka)
-Chaka eba kyaka.

Ple sana - "Okushelela" ni Kuchumbia/kuposa
 
Bati, Ekikwiija tikilaga, Kekilaija kilanshanga Ntegile
Bati, Obwato bufa Magoba
 
Ingekuwa vizuri zaidi kukawekwa na tafsriri yake hayo maneno ya kihaya ili nasi ambao lugha hiyo hatuifahamu angalau
tukajifunza cha kuombea maji au siyo wanajamii
 
Back
Top Bottom