Emirates Airlines: Kiboko ya Mabishoo!

Emirates Airlines: Kiboko ya Mabishoo!

Uarabuni pesa ipo. Akili ndo mzozo
Wangekuwa hawana akili wasingeweza kuwa na maendeleo makubwa vile jangwani
Wewe uliyokuwa na rasilimali zote hizi na elimu yako ya kukaririshwa hadi leo una nini?

Mtu asiyekuwa na akili hawezi kuendesha shirika la ndege kwa ufanisi vile hadi kuwashinda walionzisha hizo ndege

Unajua kwamba hao waarabu wanamiliki hadi uwanja mkubwa duniani wa heathrow uingereza? Huyo unasema hana akili?
 
Back
Top Bottom