Emmanuel Mbasha Afunguka sakata la Gwajima katika Twitter

usihofu kuanzia kesho tutaanza kumsifia baba yako Mbowe, kwa leo vumilia. tunarekebisha tabia ya wezi wa wake za watu ili wanasiasa wetu wawe makini hivyo tulia hivyohiyvo endelea kunywa mnazi wako taratibu.

Okay, Gwajima ni mwanasiasa? Mbowe is not my father either.

Imeandikwa, "Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye." - Mithali 26:4

Kwa heri! Siku njema!
 
Okay, Gwajima ni mwanasiasa? Mbowe is not my father either.

Imeandikwa, "Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye." - Mithali 26:4

Kwa heri! Siku njema!
lakini pia kumbuka mpumbavu hujiamini sana ila mweredi huwa na hofu kwa kila jambo analotaka kufanya, naona unajiamini sana mkuu hongera na karibu janvini maana naona umejoin decenber 2014, karibu mgeni hapa tutakufunda, naona hujui kuwa Gwajima ni Mwanasiasa ila usihofu utajua hapa kuna walimu wazuri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…