Unadhani huyu atafanya Nini? Nitakutafuta baada ya mwaka Mungu akitupa uhaiBora aondolewe maana toka amekuwa Balozi hakuna manufaa yoyote kwa taifa
Kuna balozi yoyote ameshaleta manufaa kwa taifa?Bora aondolewe maana toka amekuwa Balozi hakuna manufaa yoyote kwa taifa
Hivi ni vyeo kwa shukrani kwa makada wa CCMKuna balozi yoyote ameshaleta manufaa kwa taifa?
Dr mihogoKuna balozi yoyote ameshaleta manufaa kwa taifa?
Nchimbi alikula pesa za Mabasi ya wanafunzi DSM akiwa Mwenyekiti UVCCMKwamba,ndiye mtarajiwa?
Una ushahidi?Nchimbi alikula pesa za Mabasi ya wanafunzi DSM akiwa Mwenyekiti UVCCM
Unataka ushahidi ?Una ushahidi?
Upeleke kwa DPP.Unataka ushahidi ?
Sasa mwambie Nchimbi athubutu kugombea chochoteUpeleke kwa DPP.
Nchimbi alikula pesa za Mabasi ya wanafunzi DSM akiwa Mwenyekiti UVCCM
Utamfanyaje mkuu?Sasa mwambie Nchimbi athubutu kugombea chochote
Huyo ameishia kupiga picha na makoti ya baridi tu.Dr mihogo
una umri gani ?wewe jinga sana acha porojo si yule dogo wenu wa Cdm alizitafuna[emoji83]
Ni hapo atakapothubutuUtamfanyaje mkuu?
Kama. Akiwa mwanasheria mkuu wa serikali kazi yake ilikuwa kupeleka sheria za ajabu bungeni, una tarajia ata fanya nini huko Brazil?Unadhani huyu atafanya Nini? Nitakutafuta baada ya mwaka Mungu akitupa uhai