Emmanuel Nchimbi amestaafu lini Ubalozi? Kaapishwa Prof. Adelardus Lubango Kilangi kuwa balozi Brazil

Nadhani 1990-1995 Mwenyekiti akiwa John John Guninita (RIP). Mkuu wa mradi alikuwa Didas Masaburi. Kwenye mradi huo ndipo alipopata hela alizojengea chuo cha mambo ya procurement kule Chanika
Hapana , japo sina kumbukumbu nzuri kwa vile sikuwahi kuwa mwanaccm lakini Guninita na Katibu wake Sukwa Said Sukwa sidhani kama bado walikuwa uvccm kwa mwaka huo
 
Uhusiano wako wa kimapenzi na yeye usiwaletee watanzania wote. Nchimbi anaweza kuwa Rais wa Familia yenu vilaza. Siyo Tanzania. Usitutukane watanzania kuwa na Rais wa namna yake. Mimi nimeshika nafasi muhimu za Kitaifa na Kimataifa. Nchimbi hata angepewa nafasi gani.... HAWEZI KUJA KUWA RAIS WA TANZANIA. HAITOTOKEA. KAMA UNAMPENDA SANA UWE UNAKUNYWA NAYE KAHAWA NA KULALA NAYE
 
Upfront!! Nchimbi anakuwa overrated, hana uwezo wowote. Isitoshe kusema yeye ndiyo chimbuko la kuteka watu. Akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani ndiye aliyeratibu utekwaji wa Dr Ulimboka, bomu la Mbauda Kanisani na Kaloleni Arusha.

Huyu japo ana DNA kama ya Bashite, hafai kabisa
 
MI namfahamu kwa ukaribu. hafai kabisa kuwa hata Mbunge acha kuwa Rais. ni aibu hata mtu kumfikiria nchimbi kuwa anaweza kuwa Rais. ni aibu sana. haifahi hata kufikiria jambo hilo kwa nchimbi.
 
Lengo la Hilo bomu la kaloleni ilikuwa nini
 
Nchimbi mama kamchoka tu, anataka kuweka timu yake
 
 
ana influence gani bhana? hajawahi kuwa na influence yoyote kuanzia jukwaani wala mezani
ni vile tukuwa kwenye chama kwa muda mrefu basi kubebana kunaendelea
 

Wednesday, May 11, 2022​

Brasilia, Brazil

BALOZI ADELARDUS KILANGI AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS WA BRAZIL​



Balozi wa Tanzania nchini Brazil, Mhe. Prof. Adelardus Kilangi akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Brazil, Mhe. Jair Bolsonaro wakati wa hafla iliyofanyika hivi karibuni katika Ofisi za Rais za Palacio Do Planalto zilizopo Brasilia, Brazil

Mhe. Rais Bolsonaro akionesha Hati za Utambulisho za Mhe. Balozi Kilangi mara baada ya kuzipokea wakati wa hafla iliyofanyika hivi karibuni katika Ofisi za Rais za Palacio Do Planalto zilizopo Brasilia, Brazil
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…