Emmanuel Nchimbi atalipa kisasi

Emmanuel Nchimbi atalipa kisasi

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Huyo GS mgeni wa CCM si mtu mwaminifu kwa Mamlaka hata japo kwa kiasi, na ndiyo maana alimgomea Kikwete na maamuzi yake ya 2015. Mbaya zaidi, alimgomea huku akiimba na mapambio kwa kupayuka na wazi akitambua alikuwa akifanya usaliti!

Nimhakikishie Samia, atambue anaye GS muunda makundi na asiye chelea kuunda maasi na asiye na uvumilivu hata kidogo!

Kingine, kwa hulka ya Emmanuel ni wazi pia hataweza kufanya kazi kwa amani na Paul Makonda. Hivyo, ni suala la muda tu wawili hao wataumizana na mmoja wao lazima atampisha nwingine kwa kupangiwa kazi nyingine.

Kwa hakika ya nafsi yangu, Nchimbi anaenda kutengeneza makundi ndani ya chama kama ilivyo kawaida yake.
 
Huyo GS mgeni wa CCM si mtu mwaminifu kwa Mamlaka hata japo kwa kiasi, na ndiyo maana alimgomea Kikwete na maamuzi yake ya 2015. Mbaya zaidi, alimgomea huku akiimba na mapambio kwa kupayuka na wazi akitambua alikuwa akifanya usaliti!

Nimhakikishie Samia, atambue anaye GS muunda makundi na asiye chelea kuunda maasi na asiye na uvumilivu hata kidogo!

Kingine, kwa hulka ya Emmanuel ni wazi pia hataweza kufanya kazi kwa amani na Paul Makonda. Hivyo, ni suala la mda tu wawili hao wataumizana na mmoja wao lazima atampisha nwingine kwa kupangiwa kazi nyingine.

Kwa hakika ya nafsi yangu, Nchimbi anaenda kutengeneza makundi ndani ya Chama kama ilivyo kawaida yake.
Inaelekea humjui Emanuel Nchimbi.Alikuwa anatumia haki yake ya kidemokrasia.

Haya mengine ni speculation tu isiyokuwa na uzito wowote. Yaani unamjua Nchimbi kuliko CCM? Katika watu wanaoijua CCM vizuri ni Nchimbi ameanza nayo tokea akiwa chipukizi. Hizo ni assumptions za fisi kungojea mkono udondoke.
 
Huna hoja yoyote ya msingi. Suala la kumgomea Kikwete na maamuzi yake ya mfukoni limenifanya nimheshimu hadi leo japo simkubali, lazima mtu uwe na msimamo sio kuburuzwa.

Ule mchakato ulikuwa batili, kama Mwenyekiti alikuwa na majina yake mfukoni kwanini aliitisha uchaguzi?
Katibu mpya ni loyal, nadhani ndio maana kapewa nafasi kwa kuwa anaweza kuaminika.
 
Huyo GS mgeni wa CCM si mtu mwaminifu kwa Mamlaka hata japo kwa kiasi, na ndiyo maana alimgomea Kikwete na maamuzi yake ya 2015. Mbaya zaidi, alimgomea huku akiimba na mapambio kwa kupayuka na wazi akitambua alikuwa akifanya usaliti!

Nimhakikishie Samia, atambue anaye GS muunda makundi na asiye chelea kuunda maasi na asiye na uvumilivu hata kidogo!

Kingine, kwa hulka ya Emmanuel ni wazi pia hataweza kufanya kazi kwa amani na Paul Makonda. Hivyo, ni suala la mda tu wawili hao wataumizana na mmoja wao lazima atampisha nwingine kwa kupangiwa kazi nyingine.

Kwa hakika ya nafsi yangu, Nchimbi anaenda kutengeneza makundi ndani ya Chama kama ilivyo kawaida yake.
Makundi lazima yawepo,

Chama hakiwezi kupoa kama kiporo cha ugali,
Huku Bashite huku Mchimbi, Kuna January na Madelu Mchemba,


Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Huna hoja yoyote ya msingi. Suala la kumgomea Kiwete na maamuzi yake ya mfukoni yamenifanya nimheshimu hadi leo japo simkubali, lazima mtu uwe na msimamo sio kuburuzwa.

Ule mchakato ulikuwa batili, kama Mwenyekiti alikuwa na majina yake mfukoni kwanini aliitisha uchaguzi?
Katibu mpya ni loyal, nadhani ndio maana kapewa nafasi kwa kuwa anaweza kuaminika.
....unazo ndoto ya Katiba mpya kwa Utawala wa CCM ya sasa? Pole!
 
Nchimbi ni sawa na ‘soldier of fortune’ (mercenary) vita ikiisha anaangalia biashara ingine, mkataba na Lowassa uliisha 2015.

Ila hii vita ya 2025 kama ita kuwepo awatoiweza iwapo chaguo ni mtu maalum wa kurekebisha dira na sioni wa kumsumbua ‘Bi Tozo’ zaidi ya Mwinyi.

Just a theory not factual
 
Huyo GS mgeni wa CCM si mtu mwaminifu kwa Mamlaka hata japo kwa kiasi, na ndiyo maana alimgomea Kikwete na maamuzi yake ya 2015. Mbaya zaidi, alimgomea huku akiimba na mapambio kwa kupayuka na wazi akitambua alikuwa akifanya usaliti!

Nimhakikishie Samia, atambue anaye GS muunda makundi na asiye chelea kuunda maasi na asiye na uvumilivu hata kidogo!

Kingine, kwa hulka ya Emmanuel ni wazi pia hataweza kufanya kazi kwa amani na Paul Makonda. Hivyo, ni suala la mda tu wawili hao wataumizana na mmoja wao lazima atampisha nwingine kwa kupangiwa kazi nyingine.

Kwa hakika ya nafsi yangu, Nchimbi anaenda kutengeneza makundi ndani ya Chama kama ilivyo kawaida yake.
Nchimbi aliitwa kujitetea na akakiri na kuomba msamaha kwa sauti ya unyenyekevu sana. Kwangu ninaona ni bora mtu akiriye na kuomba msamaha. Nchimbi ni kama Nape - January Makamba ndiyo gaidi - huyu jamaa hawezi kabisa kubow down!
 
Huna hoja yoyote ya msingi. Suala la kumgomea Kiwete na maamuzi yake ya mfukoni yamenifanya nimheshimu hadi leo japo simkubali, lazima mtu uwe na msimamo sio kuburuzwa.

Ule mchakato ulikuwa batili, kama Mwenyekiti alikuwa na majina yake mfukoni kwanini aliitisha uchaguzi?
Katibu mpya ni loyal, nadhani ndio maana kapewa nafasi kwa kuwa anaweza kuaminika.
Na tabia ya kuingia na majina mfukoni mkwere ameiga toka kwa mchonga.
 
Back
Top Bottom