Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
kujichosha tu,ulikusudia hivyo 'ana' au 'hana'?
nasoma mara mbilimbili kuna mkanganyiko hapo
We unaona "ana" ina fit kwa Makonda?
Obvious "hana" ndo ina comply kwa Bwana yule!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kujichosha tu,ulikusudia hivyo 'ana' au 'hana'?
nasoma mara mbilimbili kuna mkanganyiko hapo
Wewe ndiye una matatizo ya kiakili .lakini kila mtanzania mwenye akili Timamu anatambua uwezo mkubwa wa kiakili na kiuongozi alionao mheshimiwa Makonda na mchango mkubwa katika Taifa letu. Ni Makonda alipokuwa RC Dar es salaam tuliona namna alivyoleta matokeo chanya na mabadiliko makubwa ya kiutendaji na huduma bora kwa wakazi wa jiji la Dar.hata Ndani ya UVCCM na chama kwa ujumla Mh Makonda amekuwa na mchango mkubwa sana na wakati wote amekipigania na kukitetea chama kwa nguvu zake zote. Ndio maana kwa kutambua uwezo wake mkubwa na ushawishi alio nao katika taifa letu ndio maana Mh Rais wetu na mwenyekiti wetu Mh Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan aliamua amrejeshe uongozini ili aje afanye kazi ya kukijenga na kukiimarisha chama .Paulo Makonda anaondoka, Nchimbi amesema anapenda mijadala na watu wenye akili, sasa Makonda hana akili.
and, indeed, Makonda will be ousted unceremoniously.
Alikataa pema pa Chongolo, sasa kaletewa mwamba.
Samahani Nifah nilikuwa naomba urekebisha hapo ulipoandika kiwete maana naona herufi moja umeisahau.Huna hoja yoyote ya msingi. Suala la kumgomea Kiwete na maamuzi yake ya mfukoni yamenifanya nimheshimu hadi leo japo simkubali, lazima mtu uwe na msimamo sio kuburuzwa.
Ule mchakato ulikuwa batili, kama Mwenyekiti alikuwa na majina yake mfukoni kwanini aliitisha uchaguzi?
Katibu mpya ni loyal, nadhani ndio maana kapewa nafasi kwa kuwa anaweza kuaminika.
Hizo ni dua za kuku au mawazo ya kifisi kusubiri mkono mdondoke. CCM Ni taasisi imara na yenye mfumo imara ambayo hakuna aliye mkubwa ndani ya chama.kila kitu kinafanyika kwa mujibu wa katiba ya chama ,kanuni ,sheria , taratibu na miongozo mbalimbali ya chama. CCM itaendelea kuwa imara na wala haitatetereshwa hata kidogo.Ni suala la muda tu tutaona vumbi likitimka ndani. 😶
Ndani ya CCM fomu ya Urais ni moja kwa ajili ya Rais Samia na ndiye Rais wetu mpaka 2030Usimbeze mtu kwakua kesho anaweza kua boss wako.
Nadhan kwa mwenye Akili timamu, kauli hii ya Makonda itamtia Maarifa !!.
2025, Rais sio Samia.
Unacha kumzidi makonda wewe..?Paulo Makonda anaondoka, Nchimbi amesema anapenda mijadala na watu wenye akili, sasa Makonda hana akili.
and, indeed, Makonda will be ousted unceremoniously.
Alikataa pema pa Chongolo, sasa kaletewa mwamba.
Nafikiri hili neno linakufaa:Nimhakikishie Samia, atambue anaye GS muunda makundi na asiye chelea kuunda maasi na asiye na uvumilivu hata kidogo!
Siyo kweli, Emmanuel Nchimbi huwa ni mwadilifu sana kwa mamlaka inayompa nafasi. Kumhukumukwa tukio la 2015 ni kukosa ufahamu wa siasa za Tanzania. Kwani ni mbunge gani wa CCM au mwanasiasa wa CCM ambaye hakuwa anamuunga Edward Lowassa mwaka 2015? Ni Kikwette tu na ndiyo maana walipoimba wimbo "tunaimani na Lowassa akapiga makofi'. Ile ni ajali tu katika siasaHuyo GS mgeni wa CCM si mtu mwaminifu kwa Mamlaka hata japo kwa kiasi, na ndiyo maana alimgomea Kikwete na maamuzi yake ya 2015. Mbaya zaidi, alimgomea huku akiimba na mapambio kwa kupayuka na wazi akitambua alikuwa akifanya usaliti!
Nimhakikishie Samia, atambue anaye GS muunda makundi na asiye chelea kuunda maasi na asiye na uvumilivu hata kidogo!
Kingine, kwa hulka ya Emmanuel ni wazi pia hataweza kufanya kazi kwa amani na Paul Makonda. Hivyo, ni suala la mda tu wawili hao wataumizana na mmoja wao lazima atampisha nwingine kwa kupangiwa kazi nyingine.
Kwa hakika ya nafsi yangu, Nchimbi anaenda kutengeneza makundi ndani ya Chama kama ilivyo kawaida yake.
Usichokijua ni kwamba CCM sio kampuni ya mtu binafsi kwamba kuna kulipa "kisasi".Mambo yote yanaamuliwa kwa vikao na sio majungu au uzushi.Huyo GS mgeni wa CCM si mtu mwaminifu kwa Mamlaka hata japo kwa kiasi, na ndiyo maana alimgomea Kikwete na maamuzi yake ya 2015. Mbaya zaidi, alimgomea huku akiimba na mapambio kwa kupayuka na wazi akitambua alikuwa akifanya usaliti!
Nimhakikishie Samia, atambue anaye GS muunda makundi na asiye chelea kuunda maasi na asiye na uvumilivu hata kidogo!
Kingine, kwa hulka ya Emmanuel ni wazi pia hataweza kufanya kazi kwa amani na Paul Makonda. Hivyo, ni suala la mda tu wawili hao wataumizana na mmoja wao lazima atampisha nwingine kwa kupangiwa kazi nyingine.
Kwa hakika ya nafsi yangu, Nchimbi anaenda kutengeneza makundi ndani ya Chama kama ilivyo kawaida yake.
Kila neno litaandikwa
Huku mwandishi umekalia kibuyu kama mchawi hela ya kula tu tabu
Vyovyote vile....Heri Nchimbi amekuwepo sasa kuliko mwingine..Huyo GS mgeni wa CCM si mtu mwaminifu kwa Mamlaka hata japo kwa kiasi, na ndiyo maana alimgomea Kikwete na maamuzi yake ya 2015. Mbaya zaidi, alimgomea huku akiimba na mapambio kwa kupayuka na wazi akitambua alikuwa akifanya usaliti!
Nimhakikishie Samia, atambue anaye GS muunda makundi na asiye chelea kuunda maasi na asiye na uvumilivu hata kidogo!
Kingine, kwa hulka ya Emmanuel ni wazi pia hataweza kufanya kazi kwa amani na Paul Makonda. Hivyo, ni suala la mda tu wawili hao wataumizana na mmoja wao lazima atampisha nwingine kwa kupangiwa kazi nyingine.
Kwa hakika ya nafsi yangu, Nchimbi anaenda kutengeneza makundi ndani ya Chama kama ilivyo kawaida yake.
Hayo ni mawazo yako sio ya Emanuel NchimbiHuyo GS mgeni wa CCM si mtu mwaminifu kwa Mamlaka hata japo kwa kiasi, na ndiyo maana alimgomea Kikwete na maamuzi yake ya 2015. Mbaya zaidi, alimgomea huku akiimba na mapambio kwa kupayuka na wazi akitambua alikuwa akifanya usaliti!
Nimhakikishie Samia, atambue anaye GS muunda makundi na asiye chelea kuunda maasi na asiye na uvumilivu hata kidogo!
Kingine, kwa hulka ya Emmanuel ni wazi pia hataweza kufanya kazi kwa amani na Paul Makonda. Hivyo, ni suala la mda tu wawili hao wataumizana na mmoja wao lazima atampisha nwingine kwa kupangiwa kazi nyingine.
Kwa hakika ya nafsi yangu, Nchimbi anaenda kutengeneza makundi ndani ya Chama kama ilivyo kawaida yake.
Tatizo lako usukuma unakusumbua.....na huenda ikawa kinyume chake pia, zingatia!
mkuu NifahHuna hoja yoyote ya msingi. Suala la kumgomea Kikwete na maamuzi yake ya mfukoni yamenifanya nimheshimu hadi leo japo simkubali, lazima mtu uwe na msimamo sio kuburuzwa.
Ule mchakato ulikuwa batili, kama Mwenyekiti alikuwa na majina yake mfukoni kwanini aliitisha uchaguzi?
Katibu mpya ni loyal, nadhani ndio maana kapewa nafasi kwa kuwa anaweza kuaminika.
Chadema akili hamna kbs kwani Nchimbi Makonda wanashindania nini wkt ni timu moja yaani CCM iteue katibu Mkuu ili aje ashindane na Makonda tena daah aisee chadema sijui mnfikiria Kwa kutumia kiungo ganiPaulo Makonda anaondoka, Nchimbi amesema anapenda mijadala na watu wenye akili, sasa Makonda hana akili.
And, indeed, Makonda will be ousted unceremoniously.
Alikataa pema pa Chongolo, sasa kaletewa mwamba.
I told ya...
Pole sana maana ulituhakikishia kuwa mwaka hauishi kabla ya Paulo kuwa GS.Huyo GS mgeni wa CCM si mtu mwaminifu kwa Mamlaka hata japo kwa kiasi, na ndiyo maana alimgomea Kikwete na maamuzi yake ya 2015. Mbaya zaidi, alimgomea huku akiimba na mapambio kwa kupayuka na wazi akitambua alikuwa akifanya usaliti!
Nimhakikishie Samia, atambue anaye GS muunda makundi na asiye chelea kuunda maasi na asiye na uvumilivu hata kidogo!
Kingine, kwa hulka ya Emmanuel ni wazi pia hataweza kufanya kazi kwa amani na Paul Makonda. Hivyo, ni suala la mda tu wawili hao wataumizana na mmoja wao lazima atampisha nwingine kwa kupangiwa kazi nyingine.
Kwa hakika ya nafsi yangu, Nchimbi anaenda kutengeneza makundi ndani ya Chama kama ilivyo kawaida yake.