Joan lewis
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 993
- 1,463
Maruhani yameanza mapema mapema. Hahaha Sijui Rais anawachoma choma Nini mpk watu wanashindwa kumkubali. Huyu ni Rais mezeni hiyo sukumia na tonge la Ugali wa mtama. Na maji. Na Bado ana ZAWADi nyingine watanzania watampa hapo mbele.
All the best and goodness to her.
All the best and goodness to her.