Emmanuel Nchimbi kugombea uraisi October 2025

Emmanuel Nchimbi kugombea uraisi October 2025

Maruhani yameanza mapema mapema. Hahaha Sijui Rais anawachoma choma Nini mpk watu wanashindwa kumkubali. Huyu ni Rais mezeni hiyo sukumia na tonge la Ugali wa mtama. Na maji. Na Bado ana ZAWADi nyingine watanzania watampa hapo mbele.

All the best and goodness to her.
 
Amini usiamini 2025 Dkt.Emmanuel Nchimbi ataipeperusha bendera ya CCM uchaguzi wa uraisi 2025.

Najua wengi hawajaelewa ila kwa sisi wataalamu wa masuala ya siasa za kikanda na kimataifa tunajua jinsi CCM walivojipanga kuhakikisha 2025 wanashinda kwa kishindo kizito mno.


Kama kawaida najua wengi mtabisha ila sisi ndo mataikuni, Raisi samia huenda akaenda kuwa makamu wa raisi kwa awamu nyingine tena.


Kwa mnaobisha subirini mwezi October kuna chenga ya kiushindi inaenda kupigwa.

Raisi samia yuko smart sana, Nchimbi kasogezwa kimkakati, mama atampisha kisha Nchimbi ndio atakuwa jemedari Yoshua wa CCM
Ungekuwa yule jamaa mtabiri wetu humu maharage ya ukweni sawa
 
Amini usiamini 2025 Dkt.Emmanuel Nchimbi ataipeperusha bendera ya CCM uchaguzi wa uraisi 2025.

Najua wengi hawajaelewa ila kwa sisi wataalamu wa masuala ya siasa za kikanda na kimataifa tunajua jinsi CCM walivojipanga kuhakikisha 2025 wanashinda kwa kishindo kizito mno.


Kama kawaida najua wengi mtabisha ila sisi ndo mataikuni, Raisi samia huenda akaenda kuwa makamu wa raisi kwa awamu nyingine tena.


Kwa mnaobisha subirini mwezi October kuna chenga ya kiushindi inaenda kupigwa.

Raisi samia yuko smart sana, Nchimbi kasogezwa kimkakati, mama atampisha kisha Nchimbi ndio atakuwa jemedari Yoshua wa CCM
Inawezekana; Assumption: Waliitisha kikao cha dharura sijui kile jirani na kikao cha CHADEMA.

Inawezekana waliamua hivyo ili kujiandaa mapema na kutegeshea kwa kumtafuta mtu mult purpose kwamba akishinda Mwamba, mama anarudi mana wanajuana na Mwamba, akishinda Lisu anaingia mbadala ambaye ndiyo Nchimbi sasa
 
Back
Top Bottom