Joan lewis
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 993
- 1,463
Amka kumekucha.Mama ataomba kupumzika na kumuachia kijiti Nchimbi nimeota hivo
Ungekuwa yule jamaa mtabiri wetu humu maharage ya ukweni sawaAmini usiamini 2025 Dkt.Emmanuel Nchimbi ataipeperusha bendera ya CCM uchaguzi wa uraisi 2025.
Najua wengi hawajaelewa ila kwa sisi wataalamu wa masuala ya siasa za kikanda na kimataifa tunajua jinsi CCM walivojipanga kuhakikisha 2025 wanashinda kwa kishindo kizito mno.
Kama kawaida najua wengi mtabisha ila sisi ndo mataikuni, Raisi samia huenda akaenda kuwa makamu wa raisi kwa awamu nyingine tena.
Kwa mnaobisha subirini mwezi October kuna chenga ya kiushindi inaenda kupigwa.
Raisi samia yuko smart sana, Nchimbi kasogezwa kimkakati, mama atampisha kisha Nchimbi ndio atakuwa jemedari Yoshua wa CCM
Unaota ehhh amka wewe yasije kuwa mengine bureee!Mama ataomba kupumzika na kumuachia kijiti Nchimbi nimeota hivo
Inawezekana; Assumption: Waliitisha kikao cha dharura sijui kile jirani na kikao cha CHADEMA.Amini usiamini 2025 Dkt.Emmanuel Nchimbi ataipeperusha bendera ya CCM uchaguzi wa uraisi 2025.
Najua wengi hawajaelewa ila kwa sisi wataalamu wa masuala ya siasa za kikanda na kimataifa tunajua jinsi CCM walivojipanga kuhakikisha 2025 wanashinda kwa kishindo kizito mno.
Kama kawaida najua wengi mtabisha ila sisi ndo mataikuni, Raisi samia huenda akaenda kuwa makamu wa raisi kwa awamu nyingine tena.
Kwa mnaobisha subirini mwezi October kuna chenga ya kiushindi inaenda kupigwa.
Raisi samia yuko smart sana, Nchimbi kasogezwa kimkakati, mama atampisha kisha Nchimbi ndio atakuwa jemedari Yoshua wa CCM