Emmanuel Nkulila yu wapi?

huyu bwana wimbo wake PAIN IN ME naupendaga sana-
naona kawa kimya sana kwa muda sasa

FWATA HII LINKI USIKILIZE NYIMBO ZAKE
Bongoline - Music View - Emmanuel Nkulila
Mkuu hali vp..
Huyu jamaa nampendajeeee??...
Yaan nilikuwa namtafuta kitambo nyimbo zake ila sikuziona hata youtube.
Nimejaribu now kufungua hii link uliyoweka ila naona hazipo, msaada pliiiiiizziiiii...
tanzaniiiiiia hakuna mrembo kama wewe.... ni moja ya vibao vyake mwororrrro kabisa.
yuko wapi siku hizi.
 
Anaishi Mbezi ya Goba, pamoja na wadogo zake Ema, Peter na Stevie Nkulila. Nyumba alioijenga yeye na majuzi alikuja kuangalia ujenz unaendeleaje wa ukuta alipokuja Pasaka.
Goba ndio home mkuu
 
Oooooh no..u giv me hanging ol th time, why do u say that u love me? while I know that u don't .....lol
sijui hata kama nimepatia mana enz izo sijui nko la pili English ziro ful kumung' unya maneno....
ahahaaaa
 
niliwahi kukutana nae somewhere in Nebraska.
 
Emmanuel nkulila hakuimba zanzibar bali " taanzania nia nia hakuna mrembo kama wewe", mchizi alikuwa mkali sana,

Yule manzi aliyekuwa anaimba nae kama cjakosea alikuwa anaitwa jas(z)min wakuu
Jasmine flower
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…