Emmanuel Nkulila yu wapi?

Emmanuel Nkulila yu wapi?

huyu bwana wimbo wake PAIN IN ME naupendaga sana-
naona kawa kimya sana kwa muda sasa

FWATA HII LINKI USIKILIZE NYIMBO ZAKE
Bongoline - Music View - Emmanuel Nkulila
Mkuu hali vp..
Huyu jamaa nampendajeeee??...
Yaan nilikuwa namtafuta kitambo nyimbo zake ila sikuziona hata youtube.
Nimejaribu now kufungua hii link uliyoweka ila naona hazipo, msaada pliiiiiizziiiii...
tanzaniiiiiia hakuna mrembo kama wewe.... ni moja ya vibao vyake mwororrrro kabisa.
yuko wapi siku hizi.
 
Oooooh no..u giv me hanging ol th time, why do u say that u love me? while I know that u don't .....lol
sijui hata kama nimepatia mana enz izo sijui nko la pili English ziro ful kumung' unya maneno....
ahahaaaa
 
niliwahi kukutana nae somewhere in Nebraska.
 
Back
Top Bottom