Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu mchizi bana bonge la tozi sana...ananiachaga hoi...
my name is iimanyuueli nkuullila am calling from loss-an-je-les
Alimpandisha pipa tozi Mike Mhagama kwenda duniani (kwa Obama),Mike alipofika tu akapiga simu Radio one kuwa sasa yupo matawi ya juu kwani sasa anaweza''kutengeneza kompyuta''enzi hizo tunatumia flop disketDah jamaa namkubali sn. Alikuwa fresh tu kitaa tumeishi wte mtaa mmoja cnza kumekucha ukuta wa posta.
AlKwao wanazo afu jamaa hajisikii.
Edwarrd Teller asante kwa link hiyo na kunifungulia mlango wa bongoline.huyu bwana wimbo wake PAIN IN ME naupendaga sana-
naona kawa kimya sana kwa muda sasa
FWATA HII LINKI USIKILIZE NYIMBO ZAKE
Bongoline - Music View - Emmanuel Nkulila
tehe tehe mkuu kumbe unakumbuka masela matozi sana walikuwa enzi zile....nakumbuka kuna kipindi walienda hewani bbc swahili ilikuwa ni mwaka mpya au krisimas machizi walikuwa wanamwaga kiswahili kama ung'eng'e hivi......ndio mara ya kwanza kusikia ikitamkwa imanyueeli from loss-an-je-lesAlimpandisha pipa tozi Mike Mhagama kwenda duniani (kwa Obama),Mike alipofika tu akapiga simu Radio one kuwa sasa yupo matawi ya juu kwani sasa anaweza''kutengeneza kompyuta''enzi hizo tunatumia flop disket
huyu bwana wimbo wake PAIN IN ME naupendaga sana-
naona kawa kimya sana kwa muda sasa
FWATA HII LINKI USIKILIZE NYIMBO ZAKE
Bongoline - Music View - Emmanuel Nkulila
Edwarrd Teller asante kwa link hiyo na kunifungulia mlango wa bongoline.
pamoja sana wakuuthanq ET
Alimpandisha pipa tozi Mike Mhagama kwenda duniani (kwa Obama),Mike alipofika tu akapiga simu Radio one kuwa sasa yupo matawi ya juu kwani sasa anaweza''kutengeneza kompyuta''enzi hizo tunatumia flop disket
Nilimwona akihojiwa na TBC1 mwanzoni mwanzoni mwa mwezi huu kipindi cha Jambo Tanzania.Akadai siku hizi kaweka kando mambo ya muziki anajishughulisha na masuala ya habari akatoa ahadi kipindi cha kampeni uchuguzi wa USA atatuletea yanayojiri.