Emmanuel Nkulila yu wapi?

Emmanuel Nkulila yu wapi?

Oooooh no..u giv me hanging ol th time, why do u say that u love me? while I know that u don't .....lol
sijui hata kama nimepatia mana enz izo sijui nko la pili English ziro ful kumung' unya maneno....
 
Analima mihogo Texas jirani na kwa Bush.
 
Ayayayayayyayayyaa! Mwenye link ya wimbo wake wa pain in me please please
 
yupo cali,ni raia wa marekani sasa,alimpeleka mike mhagama L.A kupiga box
 
Hivi aliimba pia ile 'Zannzibarrrrr'??
Nilikuwa naupenda ule mwimbo wake na yule dada.....Nkulila was gooooooooood...
 
Hivi aliimba pia ile 'Zannzibarrrrr'??
Nilikuwa naupenda ule mwimbo wake na yule dada.....Nkulila was gooooooooood...

ni bonge la song na sichok kusikiliza. wik 2 au 3 zijazo nitaenda california nitamtafuta mara ya mwisho kumuona ilikuwa uko
 
Hivi aliimba pia ile 'Zannzibarrrrr'??
Nilikuwa naupenda ule mwimbo wake na yule dada.....Nkulila was gooooooooood...

Huo wimbo Zanzibar si aliimba Sipho Sticks Mabuse wa Afrika Kusini? Siamni kama ni Emmanuel Nkulila labda mnieleweshe vema. "The beautiful island of Africa" ni baadhi ya maneno katika wimbo huo.
 
Huo wimbo Zanzibar si aliimba Sipho Sticks Mabuse wa Afrika Kusini? Siamni kama ni Emmanuel Nkulila labda mnieleweshe vema. "The beautiful island of Africa" ni baadhi ya maneno katika wimbo huo.

Owww....wanaojua waje watuambie....kama ni yeye au huyoo mzansi...i like the song!
 
Back
Top Bottom