MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Kupitia kada wake mwandamizi ndugu Ntobi, CHADEMA imewakaribisha wanaCCM waliotumbuliwa kujiunga na chama chao wapige kazi.
=========
Kupitia ukurasa wake wa X (Zamani Twitter) kada huyo wa CHADEMA ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hicho mkoa wa Shinyanga ameandika "Karibuni CHADEMA tupige kazi" huku akiambatanisha maneno hayo na picha ya January Makamba, Nape Nnaeye na Abdulrahman Kinana.
=========
Kupitia ukurasa wake wa X (Zamani Twitter) kada huyo wa CHADEMA ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hicho mkoa wa Shinyanga ameandika "Karibuni CHADEMA tupige kazi" huku akiambatanisha maneno hayo na picha ya January Makamba, Nape Nnaeye na Abdulrahman Kinana.