Emmanuel Ntobi awakaribisha akina Kinana, Nape kujiunga CHADEMA

Emmanuel Ntobi awakaribisha akina Kinana, Nape kujiunga CHADEMA

Hawa watu wana matatizo; yaani hawajajifunza tu mambo ya "uliko tuko". Hawajapata somo la kumpokea Lowassa bado wanategemea watoke CCM kuja kuuokoa upinzani?
Hata na wewe umeingia kwenye huu mtego? Huyo anawakejeli tu,na unafikiri kwa makando kando yao wanaweza kutoka kwenye kiota chao kinachozalisha mafisadi?
 
Huyo anawakejeli tu na hata wao wenyewe hawathubutu kutoka CCM watakamatwa siku hiyo hiyo maana wote ni majizi salama yao ni kubakia ndani ya chama cha majizi wenzao wanalindana.
Hakunaga bahati mbaya kwenye siasa.
 
Back
Top Bottom