Pre GE2025 Emmanuel Ntobi: Nimeonewa kwa sababu namuunga mkono Mbowe kwenye Uchaguzi wa chama chetu

Pre GE2025 Emmanuel Ntobi: Nimeonewa kwa sababu namuunga mkono Mbowe kwenye Uchaguzi wa chama chetu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA mkoani Shinyanga Emmanuel Ntobi amesema uamuzi uliofikiwa na kamati si sahihi kutokana na kushindwa kufuata taratibu, kanuni na katiba iliyowekwa na chama hicho.

Ntobi ameeleza hayo wakati akizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wa Wasafi FM ambapo amenukuliwa akisema:

“Sababu kubwa ni joto la kisiasa linaloendelea kwenye chama chetu, niseme tu kuwa nimeonewa kwasababu tu namuunga mkono Mhe. Freeman Mbowe kuelekea kwenye uchaguzi wa viongozi wa chama chetu.

"Hatua za kinidhamu zilizochukuliwa hazijafuata utaratibu kulingana na katiba ya chama chetu, wanapaswa kuniingiza kwenye kamati ya maadili kwa tuhuma zinazonikabili, sijatukana kiongozi yeyote bali ni maoni tu niliyotoa mtandaoni”
amesema Ntobi.

Ikumbukwe kuwa mwaka 2023 Ntobi aliwahi kusimamishwa Uenyekiti wake kwa mwaka mmoja kutokana na makosa ya kinidhamu.

Ntobi hivi karibuni maekuwa akilalamikiwa kwa baadhi ya maandiko na kauli zake dhidi ya Mgombea wa Uenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu

 
Aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA mkoani Shinyanga Emmanuel Ntobi amesema uamuzi uliofikiwa na kamati si sahihi kutokana na kushindwa kufuata taratibu, kanuni na katiba iliyowekwa na chama hicho.

Ntobi ameeleza hayo wakati akizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wa Wasafi FM ambapo amenukuliwa akisema:

“Sababu kubwa ni joto la kisiasa linaloendelea kwenye chama chetu, niseme tu kuwa nimeonewa kwasababu tu namuunga mkono Mhe. Freeman Mbowe kuelekea kwenye uchaguzi wa viongozi wa chama chetu, hatua za kinidhamu zilizochukuliwa hazijafuata utaratibu kulingana na katiba ya chama chetu, wanapaswa kuniingiza kwenye kamati ya maadili kwa tuhuma zinazonikabili, sijatukana kiongozi yeyote bali ni maoni tu niliyotoa mtandaoni” amesema Ntobi.

Ikumbukwe kuwa mwaka 2023 Ntobi aliwahi kusimamishwa Uenyekiti wake kwa mwaka mmoja kutokana na makosa ya kinidhamu.

Ntobi hivi karibuni maekuwa akilalamikiwa kwa baadhi ya maandiko na kauli zake dhidi ya Mgombea wa Uenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu
Kata rufaa.
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA mkoani Shinyanga Emmanuel Ntobi amesema uamuzi uliofikiwa na kamati si sahihi kutokana na kushindwa kufuata taratibu, kanuni na katiba iliyowekwa na chama hicho.

Ntobi ameeleza hayo wakati akizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wa Wasafi FM ambapo amenukuliwa akisema:

“Sababu kubwa ni joto la kisiasa linaloendelea kwenye chama chetu, niseme tu kuwa nimeonewa kwasababu tu namuunga mkono Mhe. Freeman Mbowe kuelekea kwenye uchaguzi wa viongozi wa chama chetu.

"Hatua za kinidhamu zilizochukuliwa hazijafuata utaratibu kulingana na katiba ya chama chetu, wanapaswa kuniingiza kwenye kamati ya maadili kwa tuhuma zinazonikabili, sijatukana kiongozi yeyote bali ni maoni tu niliyotoa mtandaoni”
amesema Ntobi.

Ikumbukwe kuwa mwaka 2023 Ntobi aliwahi kusimamishwa Uenyekiti wake kwa mwaka mmoja kutokana na makosa ya kinidhamu.

Ntobi hivi karibuni maekuwa akilalamikiwa kwa baadhi ya maandiko na kauli zake dhidi ya Mgombea wa Uenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu

View attachment 3196896
Ndio ujue kwamba hicho ni chama Cha kidikteta na watu wa kibaraka Lisu wamekuzidi.
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA mkoani Shinyanga Emmanuel Ntobi amesema uamuzi uliofikiwa na kamati si sahihi kutokana na kushindwa kufuata taratibu, kanuni na katiba iliyowekwa na chama hicho.

Ntobi ameeleza hayo wakati akizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wa Wasafi FM ambapo amenukuliwa akisema:

“Sababu kubwa ni joto la kisiasa linaloendelea kwenye chama chetu, niseme tu kuwa nimeonewa kwasababu tu namuunga mkono Mhe. Freeman Mbowe kuelekea kwenye uchaguzi wa viongozi wa chama chetu.

"Hatua za kinidhamu zilizochukuliwa hazijafuata utaratibu kulingana na katiba ya chama chetu, wanapaswa kuniingiza kwenye kamati ya maadili kwa tuhuma zinazonikabili, sijatukana kiongozi yeyote bali ni maoni tu niliyotoa mtandaoni”
amesema Ntobi.

Ikumbukwe kuwa mwaka 2023 Ntobi aliwahi kusimamishwa Uenyekiti wake kwa mwaka mmoja kutokana na makosa ya kinidhamu.

Ntobi hivi karibuni maekuwa akilalamikiwa kwa baadhi ya maandiko na kauli zake dhidi ya Mgombea wa Uenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu

View attachment 3196896
Nilijua tu kuwa hii ndo itakua point yake.
Wangemuacha tu hadi uchaguzi upite.
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA mkoani Shinyanga Emmanuel Ntobi amesema uamuzi uliofikiwa na kamati si sahihi kutokana na kushindwa kufuata taratibu, kanuni na katiba iliyowekwa na chama hicho.

Ntobi ameeleza hayo wakati akizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wa Wasafi FM ambapo amenukuliwa akisema:

“Sababu kubwa ni joto la kisiasa linaloendelea kwenye chama chetu, niseme tu kuwa nimeonewa kwasababu tu namuunga mkono Mhe. Freeman Mbowe kuelekea kwenye uchaguzi wa viongozi wa chama chetu.

"Hatua za kinidhamu zilizochukuliwa hazijafuata utaratibu kulingana na katiba ya chama chetu, wanapaswa kuniingiza kwenye kamati ya maadili kwa tuhuma zinazonikabili, sijatukana kiongozi yeyote bali ni maoni tu niliyotoa mtandaoni”
amesema Ntobi.

Ikumbukwe kuwa mwaka 2023 Ntobi aliwahi kusimamishwa Uenyekiti wake kwa mwaka mmoja kutokana na makosa ya kinidhamu.

Ntobi hivi karibuni maekuwa akilalamikiwa kwa baadhi ya maandiko na kauli zake dhidi ya Mgombea wa Uenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu

View attachment 3196896
Hawa watu wamebak wanajivuruga nankujikoroga wenyewe tu. Si ni huyu aliyesema Lisu hana watu kabisa? Sasa ameonewa na nani tena
 
Back
Top Bottom