Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Wakianza kuwajibishana kwa kusingizia matusi wasije kushangaa serikali itakapokuwa inawawajibisha kwa kisingizio hicho hicho. Wapinzani uchwara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ameondolewa na wafuasi wa Lissu“Sababu kubwa ni joto la kisiasa linaloendelea kwenye chama chetu, niseme tu kuwa nimeonewa kwasababu tu namuunga mkono Mhe. Freeman Mbowe kuelekea kwenye uchaguzi wa viongozi wa chama chetu.
MakaratasiYEricko mavitabu
Unaumia ukiwa wapi?.Ndio ujue kwamba hicho ni chama Cha kidikteta na watu wa kibaraka Lisu wamekuzidi.
Ntobi hana nidhamu.Ni kibaka.Ajirekebishe.Aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA mkoani Shinyanga Emmanuel Ntobi amesema uamuzi uliofikiwa na kamati si sahihi kutokana na kushindwa kufuata taratibu, kanuni na katiba iliyowekwa na chama hicho.
Ntobi ameeleza hayo wakati akizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wa Wasafi FM ambapo amenukuliwa akisema:
“Sababu kubwa ni joto la kisiasa linaloendelea kwenye chama chetu, niseme tu kuwa nimeonewa kwasababu tu namuunga mkono Mhe. Freeman Mbowe kuelekea kwenye uchaguzi wa viongozi wa chama chetu.
"Hatua za kinidhamu zilizochukuliwa hazijafuata utaratibu kulingana na katiba ya chama chetu, wanapaswa kuniingiza kwenye kamati ya maadili kwa tuhuma zinazonikabili, sijatukana kiongozi yeyote bali ni maoni tu niliyotoa mtandaoni” amesema Ntobi.
Ikumbukwe kuwa mwaka 2023 Ntobi aliwahi kusimamishwa Uenyekiti wake kwa mwaka mmoja kutokana na makosa ya kinidhamu.
Ntobi hivi karibuni maekuwa akilalamikiwa kwa baadhi ya maandiko na kauli zake dhidi ya Mgombea wa Uenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu
View attachment 3196896
Mbona hayo ya kufukuzana ni mambo ya kawaida kwa vyama vya siasa hata CCM sii walimfukuza Baraka shamteNdio ujue kwamba hicho ni chama Cha kidikteta na watu wa kibaraka Lisu wamekuzidi.
Ni utaratibu wa Wapinzani njaa wa TanzaniaMbona hayo ya kufukuzana ni mambo ya kawaida kwa vyama vya siasa hata CCM sii walimfukuza Baraka shamte
CCM nao ni wapinzani? Mbona walimfukuza Baraka shamte ?Ni utaratibu wa Wapinzani njaa wa Tanzania
Mkuu asante kwa kumpa za uso😁💐💐💐💐Nimecheka kwa nguvu, naona unajaribu kubalance equation na chama la mbeleko ya vyombo vya dola.
Kachukue posho yako chawa weweChama Cha Dikteta na kibaraka Lisu atawaburuza Hadi mkubali shoo
Mtaburuzwa huko kama Jiwe alivyoburuza CCM Hadi akili ziwakae sawaKachukue posho yako chawa wewe
Taarifa za wazi kabisa ni Lissu kufukuzwa uwanachama. Stay tuned dogo.Lissu ni mpango wa Mungu.