Emmanuel Papian John

Emmanuel Papian John

Kwanini Mkuu?
Yeye asili yake ni Rwanda, japo haijulikani amefikaje mpaka kuwa Mbunge lakini ameingiza wanyarwanda wenzake baada kukutwa nao kwake. Hao ndio waliokutwa je hapo kabla ameshaingiza wangapi? Hao watu wa kazi gani? Na kwa nini watoke kwao? Kama anaweza kuingiza watu je silaha atashindwa vipi? Huyu ni mtu kweli wa kuendelea kuwepo? Vyombo husika vilitakiwa vitoe statement kama vinavyofanya sehemu. Mtu huyu apotee kabisa, akaminywe hukoo mpaka kisha wamuue maana kumturn na hali wamshajua tunamuulizia kwenye vyombo vya habari hawatakuwa na kazi naye. Hiyo ndio itakuwa statement. Mbona wengine wanatekwa, kupotea na kukutwa kwenye viroba inashindikana nini kwa watu kama hawa.
 
Siku nikiamka na kuona TISS imemshughulikia huyu kibaraka wa Kagame wallah ntawapa ushirikiano kuwataja wengine wengi niwajuao tena wapo na nyadhifa jeshini na taasisi mbalimbali za serikali na binafsi.

Ieleweke hatuna nia mbaya na hawa majirani zetu lakini kiongozi wao hana lengo zuri na Nchi yetu, hivyo basi sipo tayari kufumbia macho maovu ambayo yatamuathiri mwanangu siku za usoni.
Kagame hana nia nzuri na Nchi zote za maziwa makuu, sipo tayari kumwona mwanangu akitawaliwa na mtusi kutoka Rwanda.
 
Siku nikiamka na kuona TISS imemshughulikia huyu kibaraka wa Kagame wallah ntawapa ushirikiano kuwataja wengine wengi niwajuao tena wapo na nyadhifa jeshini na taasisi mbalimbali za serikali na binafsi.

Ieleweke hatuna nia mbaya na hawa majirani zetu lakini kiongozi wao hana lengo zuri na Nchi yetu, hivyo basi sipo tayari kufumbia macho maovu ambayo yatamuathiri mwanangu siku za usoni.
Kagame hana nia nzuri na Nchi zote za maziwa makuu, sipo tayari kumwona mwanangu akitawaliwa na mtusi kutoka Rwanda.
Kwani hawakumfahamu kabla ya kugombea ubunge?
 
Unafiki wao unatokana nanini mkuu! Kwa kusema ukweli kuwa m bunge wa kiteto c mtanzani! Kwani uongoo! Unawajua vizuri wewe! Au wewe ndio mnafiki wale s watanzania na wapo wengi tuu pale Engusero nikutajie majina yao! Maduka yao yote wauzaji c watanzania wote ni watu kutoka kwao mfano mdogo tuu hivi karibuni walikamatwa wahamiaji haramu kwake wasiokuwa na vibali vya kuwepo hapa nchini zaidi ya watu 18 unalijua hilo! Japo cjui kesi iliishaje lakini ukweli ndio huo kwanini unaona watu kujua ukweli ni unafiki! Jitambue mnafiki niwewe usietaka ukweli ujulikane ndio nyie wote mnajifanya kondoo kumbe mafisi usiku

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo walivyo hao CCM wanafiki, wanawapa ubunge hadi wanyaru.
Hawasahau kwao hao, bora amejulikana ni muhimu akangolewa maana ni hatari kwa usalama wa nchi yetu!!
 
Wewe huyu c muhaya huyu ni mnyarwada halisi na kiteto anamuda mrefu sana kuanzia miaka ya 95 nilianza kumuona katika vijiji vya Dosidosi mara akahamia kijiji cha jirani kiitwacho Engusero. Na wakati huo alikuwa ni bwana shamba akijishughulisha na mambo ya ukulima na ufugaji huku akiwa na duka lake la spea za baiskeli enzi zile ni Phonex au swala na zingine nyingi vifaa tulinunua kwa duka lake. Ni historia ndefu kidogo nikipata muda nitaielezea namna alivyoingia kwenye siasa mpka sasa ndio m bunge wa kibaya kiteto.

Sent using Jamii Forums mobile app
sawasawa mkuu alishawahi kugombea udiwani pale Engusero na kina Musa mweusi aka Jaluo
 
Unafiki wao unatokana nanini mkuu! Kwa kusema ukweli kuwa m bunge wa kiteto c mtanzani! Kwani uongoo! Unawajua vizuri wewe! Au wewe ndio mnafiki wale s watanzania na wapo wengi tuu pale Engusero nikutajie majina yao! Maduka yao yote wauzaji c watanzania wote ni watu kutoka kwao mfano mdogo tuu hivi karibuni walikamatwa wahamiaji haramu kwake wasiokuwa na vibali vya kuwepo hapa nchini zaidi ya watu 18 unalijua hilo! Japo cjui kesi iliishaje lakini ukweli ndio huo kwanini unaona watu kujua ukweli ni unafiki! Jitambue mnafiki niwewe usietaka ukweli ujulikane ndio nyie wote mnajifanya kondoo kumbe mafisi usiku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo sio mtanzania.
anashindaje ubunge kama siyo mtz, na anapataje nafasi ya kuwakilisha chama kama siyo mtz au rushwa maana hawa watu kwa kutoa rushwa ndio wenyewe.na chama chetu kimejaa wala rushwa kila ngazi.
 
Back
Top Bottom