Emmatheboy upo wapi jamani?

Kama alijichanganya akachukua demu wa Bashite ndo tumsahau hivo
 
Habari zinazo vuma produce EMA THE BOY kupotea, cm yake haipatkan leo cku ya tano haonekani ni za kweli???
Naulza cjadhibitisha
 
poleni..msichoke kumtafuta

hivi yule dada mtangazaji azam tv.. aliewekewa uzi humu alipatikana? nadhan anaitwa fatma
 
Jamaa amepatikana, aliandika kwenye account yake ya Instagram kuwa alikuwa bagamoyo kwa kazi zake binafsi
 
Ujinga huu.....

Mtu anagombana na mke wake anamzimia cm... Mnaleta hapa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…