Mkuu, cheki post ya kinjekitile hapo juu (post inayofata baada yako). Kama wewe unaziona kawaida, kwangu zinaonekana kama hiviπππMh mbona naziona ndogo
Unatutisha mzee baba..ππππNgoja ntest
[emoji48][emoji48]
Ongea na mods wajaribu kupunguza size[emoji4] [emoji4]Mkuu, mimi kweli huwa mara nyingi natumia freebasics kutokana na ukata mkali nilionao, lakini jana na leo nimebahatisha hela bando. But still naona maemoji makubwa makubwa kama mpira wa basket....hebu ona mamikono hayaView attachment 949531
Mkuu we huzioni kama ni kubwa?Zinapatikana wapi kwani?
Naziona kubwa ila kwangu bado ni ndogoMkuu we huzioni kama ni kubwa?
Basi hii shida itakuwa kwa ntu na ntuNaziona kubwa ila kwangu bado ni ndogo
Heee. Kwako nazo ni kubwa?Basi hii shida itakuwa kwa ntu na ntu
Hivi mimi mbona sioni emojMimi nikitumia Computer kubrowse JF ndio naziona kubwa sana, ila nikitumia App naziona za kawaida tu
πΉπΉπΊπΊππΏπΏHivi mimi mbona sioni emoj
[emoji83][emoji83][emoji84][emoji84][emoji48][emoji49][emoji49]
Hujaziona na hizo
SanaaHeee. Kwako nazo ni kubwa?
Sawa nimeonaSanaa
kama unatumia samsang jaribu kubonyesha na kuhold ki'button cha kwanza kushoto baada ya space bar. Then kuna option zita pop-up, moja wapo ni option ya emojNamaanisha nikiwa natype yaani sizioni