Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utadhani mikono na gholiatiMkuu, mimi kweli huwa mara nyingi natumia freebasics kutokana na ukata mkali nilionao, lakini jana na leo nimebahatisha hela bando. But still naona maemoji makubwa makubwa kama mpira wa basket....hebu ona mamikono hayaView attachment 949531
kama unatumia samsang jaribu kubonyesha na kuhold ki'button cha kwanza kushoto baada ya space bar. Then kuna option zita pop-up, moja wapo ni option ya emoj
Hicho chenye alama ya setting kilicho jirani na kitufe cha space, ukibonya kwa kushilia kwa muda zitakuja pop-up. Lakini nao na hapo kwako kwa juu kuna kialama cha emoji kwa juu ya keypad, ukibonya hapo hazitokei?Hazitokei. Kitufe kipi?View attachment 950151
Nimejaribu hicho cha setting yanakuja mambo mengine tu. Hicho kiemoj ni kama kimekuwa saved tu kutokana na matumizi ya sehemu nyingineHicho chenye alama ya setting kilicho jirani na kitufe cha space, ukibonya kwa kushilia kwa muda zitakuja pop-up. Lakini nao na hapo kwako kwa juu kuna kialama cha emoji kwa juu ya keypad, ukibonya hapo hazitokei?
Basi mkuu, hakuna namna...endelea kucheka kwa kuandika 'hahahahahaha'😀😀😀😀😀. Mimi kwangu nikikihold inatokea pop-up hii hapa chiniNimejaribu hicho cha setting yanakuja mambo mengine tu. Hicho kiemoj ni kama kimekuwa saved tu kutokana na matumizi ya sehemu nyingine
Basi mkuu, hakuna namna...endelea kucheka kwa kuandika 'hahahahahaha'[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Mimi kwangu nikikihold inatokea pop-up hii hapa chiniView attachment 950166
zipo kwenye keyboard ya simu yakoHivi mimi mbona sioni emoj
Aaaah nzuri tu mama la mamaKwenye app hamna shida.
BTW habari za kupotea?
Hazipozipo kwenye keyboard ya simu yako
Basi fanya kudownload Keyboard ya Google au update hiyo yako uliyonayo itakuwa na sehemu za emojiHazipo